Pilipili ni mkombozi wetu wanaume

Pilipili ni mkombozi wetu wanaume

mmmmh! PILIPILI +CHUMVI+LIMAO = hii itakuwa kachumbali tu! labda kasahau kutaja nyanya. Eti mkuu kitoabu hujasahau nyanya ya kupaka kweli hapo?
 
Ulipoanza tu kusisitiza we ni mtu mzima na akili zako nkajua tu we ni punguani.. sikuendelea kusoma
 
mmmmh! PILIPILI +CHUMVI+LIMAO = hii itakuwa kachumbali tu! labda kasahau kutaja nyanya. Eti mkuu kitoabu hujasahau nyanya ya kupaka kweli hapo?

ni kutafutia mihogo pale kwa mama muuza!
 
Mkuu dawa hiyo tayar nimeichanganya vizuri lakin bado sijaipaka na niweka kwenye kopo, mi nipo serious naomba uniambie kama utan au kweli maana nina mpango wa kupaka leo usiku.

Serious msaada mkuu.

hahaha shardcode kumbe kibamia huhuhu angalia ucje uka:target: chumban mpaka ukawashtua majirani!!!!
 
duh ngoja leo nijaribu maana kibamia changu kinanitesa sana naanza dozo soon.
 
Mh! Hiyo ya pilipili kwenye mbo.o sikubaliani nalo! Nahisi hapo unaweza kuhisi mbo.o inawaka moto hadi utamani kuita Gari la zimamoto!

Huyu atakuwa ameota labda,usicheze na pilipili
 
Team kibamia ukijaribu hata hicho ulichonacho kinaondoka.....
 
Tehe tehe teeeh naamini mpaka dakika hii ushapata wateja wengi wa kujaribu tiba yako ukiwa na tatizo ukiambiwa chochote utafanya ila hii dawa ungetaja vyoooote ukiondoa pilipili maana hii kitu ikigusa kichwa kidogo balaa lake sasa sipati picha kwa siku 7
 
Afadhali ungelisema ni dawa ya kula! Unataka kuwadhuru wanaume wenzio??!! Huwezi paka pilipili ktk uume, we muuaji mkubwa!!
 
Pilipili + chumvi + limau?
Hakyamama naapia ukifanya hivyo hiyo kitu ita paralyze instantly!
 
Back
Top Bottom