Mpenz wangu anajini jaman ,,,,,,,,,,cjui ni mchawii.....?

Mpenz wangu anajini jaman ,,,,,,,,,,cjui ni mchawii.....?

avatar167474_1.gif
 
HII hali inanitisha na kuniogopesha sana ..nina mda wa miez m3 na mpnz niliye naye sasa...na nnampenda sana ila kila siku upendo wangu unazid kushuka kutokana na kutokuwa na elimu juu ya hayo mambo maana kla baada ya sku 2/3/4 anweza akaondoka(anabaki mwil tuu) ucku na akirud ansema alkuwa kwa rafiik yke anaitwa maimuna...mwanzoni nilikuwa naogopa sana ila kunasiku nilmbana aliniambia ukwel woote jjuu ya hlo dubwasha..Ndipo nikajua kwamba ni jini na si mchaw, kuna watu baadhi waliniambia laweza kuwa jini na wengine wakasema atakuwa ni mchawi .huyo mwanamke me siishi naye nilikuwa na mazoea ya kulala kwake siku 4 mfululzo..ila baada ya kuexperience hay o mambo nikakata mguu kabisa na mawasiliano nikapunguza kwa sababu huyo jini aliwah kunitisha na kumtaka yule m/ke awe(kimapenz) na rafiki yke aitwaye yusuph...ila alikataa ndio chanzo cha mimi kugopa kabisaaa maana niliogopa kuweka bifu na hivyo v2..... jaman nashindwa kukielezea kisa hiki vzur kwa sababu ni kirefu kdogo na mimi sina weledi ktka uandishi ila nnachowaomba n ushaur tuu huenda nikapata zaid ya nilioupata kwa marafiki na ndugu+shehe....niendelee kumpotzea hiv hiv japo yy hatak suala la kuachana kabisa ...anasema yeye ndio mwenye maamuz kat ya mimi au yusufu ...hawezi akatembea na jini.....japo kuna siku MAIMUNA alimwambia utakuja juta maana tabia yake sio nzur kwamba nina m/ke zaid ya yeye,alichonisihi yule m/ke akasema me sijali alichokisema ila nisitoke nje ya penz lake maana nikitoka hazma yake itakuwa ime timia.....nipo njia panda jaman...nifanyajee hap0????
1z228on.jpg
 
Mpaka hapo ulipofikia umeshahatrisha maisha yako. Unachoweza kufanya mpokee Yesu halafu wakuombee manake na wewe tayari ushakua na jini au majini. Kumbuka majinin huwa hayana mapenzi na binadamu ni makatili sana waweza poteza maisha tena huyo jini maimuna huwa anashirikiana na jini makata sasa kazi kwako.

Kumpokea Yesu ni bure hakuna gharama na maombezi hutolewa bure hivyo usidanganywe kwamba mpaka utoe kitu flani au ..........kataa tafuta waombaji wa kweli.
 
HII hali inanitisha na kuniogopesha sana ..nina mda wa miez m3 na mpnz niliye naye sasa...na nnampenda sana ila kila siku upendo wangu unazid kushuka kutokana na kutokuwa na elimu juu ya hayo mambo maana kla baada ya sku 2/3/4 anweza akaondoka(anabaki mwil tuu) ucku na akirud ansema alkuwa kwa rafiik yke anaitwa maimuna...mwanzoni nilikuwa naogopa sana ila kunasiku nilmbana aliniambia ukwel woote jjuu ya hlo dubwasha..Ndipo nikajua kwamba ni jini na si mchaw, kuna watu baadhi waliniambia laweza kuwa jini na wengine wakasema atakuwa ni mchawi .huyo mwanamke me siishi naye nilikuwa na mazoea ya kulala kwake siku 4 mfululzo..ila baada ya kuexperience hay o mambo nikakata mguu kabisa na mawasiliano nikapunguza kwa sababu huyo jini aliwah kunitisha na kumtaka yule m/ke awe(kimapenz) na rafiki yke aitwaye yusuph...ila alikataa ndio chanzo cha mimi kugopa kabisaaa maana niliogopa kuweka bifu na hivyo v2..... jaman nashindwa kukielezea kisa hiki vzur kwa sababu ni kirefu kdogo na mimi sina weledi ktka uandishi ila nnachowaomba n ushaur tuu huenda nikapata zaid ya nilioupata kwa marafiki na ndugu+shehe....niendelee kumpotzea hiv hiv japo yy hatak suala la kuachana kabisa ...anasema yeye ndio mwenye maamuz kat ya mimi au yusufu ...hawezi akatembea na jini.....japo kuna siku MAIMUNA alimwambia utakuja juta maana tabia yake sio nzur kwamba nina m/ke zaid ya yeye,alichonisihi yule m/ke akasema me sijali alichokisema ila nisitoke nje ya penz lake maana nikitoka hazma yake itakuwa ime timia.....nipo njia panda jaman...nifanyajee hap0????

Hayatuhusu.
 
Yesu Kristo hakuja duniani kuhukumu bali kutafuta wale watendao dhambi wapate kuwa huru.
Sasa kama unadhani kuwa huyu ana dhambi basi pia jua kuwa kuna msamaha wa hiyo dhambi...

Hivyo usiwe na shaka juu ya habari hizo...

Hivi nyie mnaosema mshike yesu litaondoka mpo serious? Aliyetoa mada anazini ni dhambi katika biblia; atamshikaje Yesu the same time? Au na nyie ni walokole wa type hii? Mi nakushauri achana nae tafuta mwingine..
 
Hivi nyie mnaosema mshike yesu litaondoka mpo serious? Aliyetoa mada anazini ni dhambi katika biblia; atamshikaje Yesu the same time? Au na nyie ni walokole wa type hii? Mi nakushauri achana nae tafuta mwingine..
yesu alikufa kwj ajili ya wadhamb, na hakuna innocent undr the sun.., nafasi ya kurud kwa yesu bdo anayo. YESU NI JIBU
 
Mkuu Pasco, kama bado hujafika huku tafadhali uje umshauri ndugu yetu.
 
Ukiwa na wasiwasi usifanye jambo lolote sababu we ni binadamu na siyo jini kwa hamuwezi kushindana.
 
Komaa nae mkubwa! Huyo yusuph akimchukua na kakuachia mwili wa huyo demu, wewe ugegede huo mwili uliobaki!
Kama mbwai mbwai tu!
Aiseee jf kuna vituko. daaaa sijui umefikiri nini?

daa jf raha tupu.
 
Uuuiii sipendagi hizo ma superstition ...😕😕🙄🙁😱🙁🙄
 
Jesus ndo kiboko ya maduwasha hayo. Believe in him, you'll be ok.
 
Kumbe mapenzi sio upofu.......
Sepaaaa huna ubin na maimuna.. Iko siku atataka damu yk usiku itakuwa hekaheka hapo
 
tengeneza Hirizi ya mifupa ya kiti moto.... jini atawasikia tu kwenye bomba hatathubutu kuwasogelea
 
Back
Top Bottom