I love JF because of it's educative contributions "in kiswahili"from its members but when the thread is posted in English very few come out to contribute.
I have also noted that the only guys who contribute using English are men not in the driving seat in political arena.
Kama kichwa kinavyo jieleza,
Mpemzi wangu simu yake ilikua na shida nikaamua kumpa handset yangu ya spear. Baadaye baada ya kumtafutia simu nyingine ilibidi arudishe niliyomuazima, cha ajabu kasahamu kudelete text za kuomba pesa kutoka kwa mtu wake mwingine, wakati najipanga kwenda kutoa mahari...
Siwaelewi NASA na kiongozi wao jamani,walipettion ushindi wa Rais na supreme court ikawasikiliza nakushinda,baadaye wakapinga tarehe 17october yamarudio iliyopangwa awali na IEBC,tarehe imebadilishwa mpaka tarehe 26 october,tena wamekuja na issue nyingine hawamtaki COO wa IEBC,
Nadhani kuna kitu...
The problem here is not the little angel. The problem is those idiots dressed like demons.mtawaonea watoto tu kwani mtoto akioneshwa uchi kosa lake lipi akiangalia?
Nina imani Mungu amewaamusha salama.
Jana jioni nilipotoka kwenye mizunguko yangu, nikajipumzisha sehemu na mtu wangu (ke)mahali.
Mtu wangu ni mmoja wa vijana walio kwenye harakati za kutafuta kazi. Katika discussion zetu tukajaribu kupanga ratiba ya hii long weekend.Ghafla nikajikuta nipo...
Nipo kwenye mahusiano na mrembo takribani miezi sita hivi. Huwa anakuja kwangu nakuspendi nights. Kinachonishangaza sana ni kwamba juzi kati amekorofishana na baba yake na ameamua kwenda kukaa na rafiki yake hostel.
Hana kazi na wala biashara. Sijajua sababu ya kwenda hostel coz at times she...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.