Huyu mrembo simuelewi kabisa

naisha nasri

Member
Apr 25, 2016
67
64
Nipo kwenye mahusiano na mrembo takribani miezi sita hivi. Huwa anakuja kwangu nakuspendi nights. Kinachonishangaza sana ni kwamba juzi kati amekorofishana na baba yake na ameamua kwenda kukaa na rafiki yake hostel.

Hana kazi na wala biashara. Sijajua sababu ya kwenda hostel coz at times she depend on me. Sielewi jamani kwa nini ameamua hivi na sitaki kumuacha coz she is so sweet.

1629379196229.png

 
Sisi humu hata hatujui kwanini alikorofishana na baba yake.

Labda Ni kwa sababu ya kutokulala home.

Chamsingi kama umeipenda asali chonga mzinga blaza yaani oa....Fanya taratibu ili huo usweetness uinjoi vizuri.

Huko hostel Sasa hivi utamegewa.
 
Yaan we bwege kweli badala kuuliza walichogombana na sababu ya yeye kwenda kulala hostel unakimbilia jf, hivi kwa akili hio c utakua unachunwa mpk basi na kugongewa juu
 
Kuna tetesi histel huwa anashinda mchana, usiku kuna njemba linabeba
 
Ata mimi nisingekimbilia kwako!!! Sio kwamba nina jambo nakuficha ila najua wazazi watafuatilia nilikimbilia wapi na wakigundua nimehamia kwa boyfriend ntakua nimeongeza chumvi kwenye kidonda.
 
Nipo kwenye mahusiano na mrembo takribani miezi sita hivi.huwa anakuja kwangu nakuspendi nights.Kinachonishangaza sana nikwamba juzi kati amekorofishana na baba ake na ameamua kwenda kukaa na rafiki yake hostel. Hana kazi na wala biashara. Sijajua sababu yakwenda hostel coz at times she depend on me. Sielewi jamani kwa nn ameamua hivi na sitaki kumuacha coz she is so sweet.
Kwa hiyo unataka sisi tufanyaje?? Kama humuelewi na sisi hatumuelewi pia kwa maana hatukai nae
 
Nipo kwenye mahusiano na mrembo takribani miezi sita hivi.huwa anakuja kwangu nakuspendi nights.Kinachonishangaza sana nikwamba juzi kati amekorofishana na baba ake na ameamua kwenda kukaa na rafiki yake hostel. Hana kazi na wala biashara. Sijajua sababu yakwenda hostel coz at times she depend on me. Sielewi jamani kwa nn ameamua hivi na sitaki kumuacha coz she is so sweet.
Hahaha, dah kwqa hiyo akiwa sweet ndo haachwi?
 
Back
Top Bottom