umejitahidi sana kumchafua Marando kwa insha hii, lakini umeshindwa kutofautisha alichokifanya huko NCCR na anachokifanya CHADEMA. kwa maneno yako umeandika kuwa alitaka kuwang`oa akina Mrema na hao wengine uliowataja, katika uongozi wa NCCR. Kwa maneno yako pia umeandika kuwa huyu Marando...
Wewe hujui unachokisema, NSSF hawatoi mafao kwa watumishi wa umma. Ni vema ufahamu kuwa NSSF ni mfuko wa wafanyakazi wa sekta binafsi ambapo hata watu waliojiajiri uwekeza/uweka akiba katika mfuko huu.
Huyu, Lusinde ni janga la taifa kama ulivyo ugonjwa wa ukimwi. Jitihada zinahitajika kumuondoa bungeni. Binafsi ninajitolea rasmi kuanzisha nguvu ya kumfuta bungeni 2015.
Nadhani mimekuelewa vilivyo mkuu, unamaanisha safari za kwenda Lilongwe zitaongezeka na kusababisha hasara kubwa kwa nchi yetu. ohooo, Si unajua tena jamaaa na vimwana. au? ahaaaaaa!!!!!!
Ni wazi kuwa wewe uliyeandika makanusho ya ukweli aliousema Mh Zitto ni mtu uliyeshiba wala huna njaa. umejitosheleza kwa kila jambo kutokana na kodi za watu (watanzania) masikini. Kushiba kwako kumekufanya ulewe na kushindwa kutembea hata umbali wa kilomita tano kutoka hapo unapopaita makao...
Ndugu Dickson Maimu ni miongoni matanzania wanaofaa kutolewa mifano, ni mzalendo sana. Tukio la hivi karibuni alilolifanya kwa kutoa taarifa sahihi za uozo uliopo kwenye majeshi yetu ni kitendo cha kijasiri na cha kizalendo kinachostahili kuigwa na kila mtanzania. Ebu fikilia vyombo vinavyoitwa...
Umenivunja mbavu kwa utani huu. Mtafute mtu mmoja anayeitwa Masaburi, nadhani anaweza kusaidia kutueleza huyu mkuu wa mkoa wa dar anafikilia kwa kutumia kiungo gani cha mwili wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.