Wadau nawasalim wote,
Baba na mama wa mke wangu walikuja mwaka 2011 kututembelea hapa Dar, ilikua wakae mwezi mmoja then warudi kijijini.
Lakini cha kushangaza hivi ninavyozungumza nanyi tarehe 30-06-2015 Jumanne, hawajaondoka kurudi kijijini kwao hadi Leo miaka takribani minne tangu 2011...
Kuna mmoja nilimtongoza kutokana na wowowo lake tulipofika nyamagana stadium akaenda kusaula chooni kurudi nastuka kumuona kawa kama betina Wa kenye gazeti la sani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.