Recent content by naipanoi ole tiptip

  1. N

    Wazazi wa mke wangu wamehamia kwangu kabisa, nyumbani hakukaliki

    Wadau nawasalim wote, Baba na mama wa mke wangu walikuja mwaka 2011 kututembelea hapa Dar, ilikua wakae mwezi mmoja then warudi kijijini. Lakini cha kushangaza hivi ninavyozungumza nanyi tarehe 30-06-2015 Jumanne, hawajaondoka kurudi kijijini kwao hadi Leo miaka takribani minne tangu 2011...
  2. N

    Mambo ya michepuko haya unaweza kufariki

    Ha ha ha Mtabiri wetu naomba utusaidie iwapo hii ni chai au la??
  3. N

    Makalio wanawake siku hizi mnayatoa wapi?

    Kuna mmoja nilimtongoza kutokana na wowowo lake tulipofika nyamagana stadium akaenda kusaula chooni kurudi nastuka kumuona kawa kama betina Wa kenye gazeti la sani
  4. N

    Kwanini wadada wengine mnapenda kulazimisha mambo?

    Tafuta kazi ufanye, kukaa vijiweni ndo kunafanya vijana mtunge stori kama hizi
  5. N

    Machangudoa wa Sinza Mori wezi, Chukua tahadhari

    Marinda hawajakufumua? Maana wengine wanaletaga wahuni
  6. N

    Pole Frank, mchumba hasomeshwi

    Ni ushamba wa mapenzi tu
  7. N

    Wamembaka mke wangu, nimeona niachane nae tu

    Huyu kachanganyikiwa, kani pm ujumbe Tumuombee jamani
Back
Top Bottom