Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,052
- 6,702
Binadaamu wako tofauti
kuna wengine wanalia kiusanii tu kumshawishi mwanamke 'wamefika'
wengine wanalia wakiwa na hasira kupita kiasi
wengine wanalia kwa unyonge.....
wengine wanalia kumhadaa mtu
ukiona mtu kakukosea (mwanaume) then analia mmh..wengi usanii ni machozi ya furaha kushuhudia ulivyokereka, wengine anavuta hisia za mtu wa karibu alokufa long