Hizi akili watu mnazipata wapi? Aliyekuambia wazazi wote wakiwa.weusi hawawezipata mtoto mweupe? Unajua asili yako wewe? Mzazi wangu (baba) alikuw weupe na nywele za singa, mama pia alikuwa mweupe sana ngoma imekuja kwa watoto rangi ni mchanganyiko Kuna weupe, weusi na wale ambao si weusi wala...
Ati kilimo cha mkono [emoji3][emoji3] mkiangalia TV NI mpira au kumi bora za wiki, hivi Kuna mkuu wa nchi atakuja kujifunza kilimo cha mkono Tanzania niishie hapo maana siishi kwa kukariri
Hivi mtu mwenye akili timamu atapokeaje huo msaada wa bila kuomba wakati Kuna nchi wanahitaji msaada hawapewi? Kuna Sudan, Ethiopia, DR Congo, Palestine, hujiulizi NI kwa wema gani? Ati unalishe. Nina imani chakula tunacho kingi tu na kikikosekana huwa hatuombi serikali inanunua nje, ilianza...
Tangu niliposikia watanzania wametekwa wakauawa ushabiki wa hiyo vita sitaki kabisa kuusikia watajijua wenyewe na vita yao, mijitu ina roho mbaya kama nini sijui afe Hezbollah, Hamas au muisrail kivyao
Ina maana wewe ni mgeni yanga hadi uumie? Wenzio wamezoe kufungwa ni hii miaka miwili mitatu ndio wameanza nyodo ni wafungwaji wazuri tu mbona, tena hasa kimataifa [emoji3][emoji3] weupe sana ya kimataifa hakukuwa na.litimu libovu kama Yanga, Tania tu ndio maana ya utani wa jadi
Labda huwajui yanga wewe hakuna timu yenye.mashabiki wa hovyo Kama Yanga, ingekuwa sio mechi ya Jana wangekwenda airport kuwapokea wageni wa.mechi ya leo tena kwa ngoma na tarumbeta halafu wanajazana uwanjani wakiwazomea Simba hawaelewi utaifa ni nini Mimi mwenyewe roho yangu kwatu, wamefungwa...
Usisahau kwamba Makonda
Sijakurupuka, kila anapopita anaambiwa kila kitu kipo sawa, hivi unafika sehemu na malalamiko yako mtu anaangalia na kukueleza kabisa umefanya kazi sehemu fulani na fulani imeishia hapa sababu hii rudi ulikotoka (nadhani) ukashuguulikie malipo yako, ni zaidi ya miaka 30...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.