Recent content by naiman64

  1. naiman64

    Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

    Ushauri wa mama.sana huo kwa.mtu asiyejitambua
  2. naiman64

    Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

    Hizi akili watu mnazipata wapi? Aliyekuambia wazazi wote wakiwa.weusi hawawezipata mtoto mweupe? Unajua asili yako wewe? Mzazi wangu (baba) alikuw weupe na nywele za singa, mama pia alikuwa mweupe sana ngoma imekuja kwa watoto rangi ni mchanganyiko Kuna weupe, weusi na wale ambao si weusi wala...
  3. naiman64

    Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS

    Ati kilimo cha mkono [emoji3][emoji3] mkiangalia TV NI mpira au kumi bora za wiki, hivi Kuna mkuu wa nchi atakuja kujifunza kilimo cha mkono Tanzania niishie hapo maana siishi kwa kukariri
  4. naiman64

    Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS

    Hivi mtu mwenye akili timamu atapokeaje huo msaada wa bila kuomba wakati Kuna nchi wanahitaji msaada hawapewi? Kuna Sudan, Ethiopia, DR Congo, Palestine, hujiulizi NI kwa wema gani? Ati unalishe. Nina imani chakula tunacho kingi tu na kikikosekana huwa hatuombi serikali inanunua nje, ilianza...
  5. naiman64

    Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

    Tangu niliposikia watanzania wametekwa wakauawa ushabiki wa hiyo vita sitaki kabisa kuusikia watajijua wenyewe na vita yao, mijitu ina roho mbaya kama nini sijui afe Hezbollah, Hamas au muisrail kivyao
  6. naiman64

    Nimefurahishwa sana na Kipigo Walichopokea Yanga kutoka kwa Belouizdad

    Ina maana wewe ni mgeni yanga hadi uumie? Wenzio wamezoe kufungwa ni hii miaka miwili mitatu ndio wameanza nyodo ni wafungwaji wazuri tu mbona, tena hasa kimataifa [emoji3][emoji3] weupe sana ya kimataifa hakukuwa na.litimu libovu kama Yanga, Tania tu ndio maana ya utani wa jadi
  7. naiman64

    Nimefurahishwa sana na Kipigo Walichopokea Yanga kutoka kwa Belouizdad

    Labda huwajui yanga wewe hakuna timu yenye.mashabiki wa hovyo Kama Yanga, ingekuwa sio mechi ya Jana wangekwenda airport kuwapokea wageni wa.mechi ya leo tena kwa ngoma na tarumbeta halafu wanajazana uwanjani wakiwazomea Simba hawaelewi utaifa ni nini Mimi mwenyewe roho yangu kwatu, wamefungwa...
  8. naiman64

    Tanzanian traditional local foods

    Hiyo ya juu ugonjwa wangu nashukuru Mungu siku hizi ndani ya nyumba Kuna kila tu
  9. naiman64

    Makonda anafanya kazi ya wabunge na madiwani

    Wao ndio wajitathmini kwa hilo uliloandika
  10. naiman64

    Makonda anafanya kazi ya wabunge na madiwani

    Usisahau kwamba Makonda Sijakurupuka, kila anapopita anaambiwa kila kitu kipo sawa, hivi unafika sehemu na malalamiko yako mtu anaangalia na kukueleza kabisa umefanya kazi sehemu fulani na fulani imeishia hapa sababu hii rudi ulikotoka (nadhani) ukashuguulikie malipo yako, ni zaidi ya miaka 30...
  11. naiman64

    Masharti ya Hamas kuanza kutekelezwa mwanzo.Malori 200 ya misaada kila siku kwa siku nne kuingia Gaza

    Kwa hiyo Hamasi walikuwa wakipanga mipango yao mbele ya Mateka? Kwa nini usifikirie Mateka wametoa Siri ya kwao na ndio chanzo cha muafaka kupatikana?
Back
Top Bottom