Wanawake wengi tunajua hili kwambe me wakikukosa tu wanakutangazia kuukwaa ili kuogopewa Tena huyo alikupenda Sana Mimi huwezi kunipeleka kuoima kila kukicha nakuacha, maana huniaminu
Aliyekuambia yaliishia hapo nani? Hadi anakufa yupo mafichoni, Tena kuna mwaka Irani ilipigwa na Tetemeko la Ardhi (Earthquake) la nguvu ikabidi wapate misaada sehemu mbalimbali diniani na Rushdie akiwa mafichoni alitoa msaada huko Iran 😀😀, Iran walipokea msaada wake na kumwambia Fatwa iko...
Interview itakuwa imekuvuruga wewe, aliyekuambia.Dodoma hakuna usafiri wa usiku nani? Kwamba ulifika stendi ukauliza wauza maji na matunda kwenye mabasi wakujibu wakati Hadi unamuuliza hajauza hata chupa.moja akujibu nini? Labda nikusaidie hakuna mkoa wenye usafiri mwingi Kama Dodoma, hapa hapa...
Nimesikitika Sana kuwazuia uwanjani wangewaacha wafike mjini, halafu wawategua viuno warudi kwao na POP (Plaster of Paris) viunoni, ya kwao yanawashinda wanakuja kutafuta umaarufu Tanzania, watuache yetu tuyamalize wenyewe, ukisikia viherehere ndio hivyo, najiuliza nyumbani waliagaje (waliaga vipi)?
Ndio mjue tumo, mwenzio alimtukana baba yake, akagundua aliyemchamba Jana JF ni baba yake, mwisho kilichokufanya ushike simu ya mama yako ni nini huo nao ni utovu wa nidhamu
Ndio maana Dogo M bukinabe hataki huu ujinga, Palestina, Sudan na sehemu zingine raia wanauawa kila siku makumi kwa mamia hawaongei kitu zaidi ya kuwasaidia wauaji leo Tanzania.mishipa imewasimama halafu wengine wanashangilia, badala ya kujiuliza kulikoni? hawa hawana lolote zaidi kutetea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.