Recent content by NAHINGA

  1. NAHINGA

    Wapinzani tuelezeni nani ni mpango wa Mungu kati ya Magufuli na Samia kwa maana hatuwaelewi

    H iki swali waulize wanaccm ambao walisema Magufuli ni mpango wa Mungu...Mpango wa Mungu kile alichikitenda mpaka akaja Mh SSH
  2. NAHINGA

    Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

    Mbona watu wanaweweseka na mbowe kuna nini? ...basi itakuwa huyu wa wa kwetu kusini kapewa maagizo....muda utaongea
  3. NAHINGA

    Bulendu: Vyama vya siasa, Asasi za kiraia, kidini waliambiwa wasichanganye na siasa. Wamewaacha, wamekwama sasa

    Kwani mkuu umafikiri asasi za kiraia ni kitu gani mpaka utufikirie sisi wa vijijini kuwa hukuwa tunapata elimu ya kiraia?...
  4. NAHINGA

    Habinder Sethi aomba msamaha na kukiri makosa yanayomkabiri ya Uhujumu Uchumi

    Mkuu mbona hilo nenp lipo kwenye kamusi ya kiswahili au mwenzetu umesoma uingereza
  5. NAHINGA

    Mfumuko wa Bei wa Taifa Washuka hadi Asilimia 3.4

    Huku kwetu wilayani hakuna kilichoshuka bei kati ya hivi mlivyovitaja hapa. naona mnaifikiria Dar tu eeh!
  6. NAHINGA

    Rais Magufuli: Mtu akitaka kukiona cha moto ajaribu kumshambulia Mwana-CCM aliyevaa kijani

    Mfano wako hauendani na kinachosemwa au ujadiliwa hapa. kwa hiyo Raisi watu wake ni wa CCM tu?...inasikitisha sana kama watu tuna akili na mawazo ya namna hii.
  7. NAHINGA

    Rais Magufuli: Mtu akitaka kukiona cha moto ajaribu kumshambulia Mwana-CCM aliyevaa kijani

    Na hilo pungufu ni baya zaidi ambalo linaweza kuleta matatizo huko mbele na maendeleo yote anayojimwambafai nayo yakawa hayana maana. Mlio karibu mwambieni hayo maneno hayafurahishi kwenye mioyo ya walio wengi
  8. NAHINGA

    Muhimu: Wababa tubadilike, wanawake wetu wamekuwa wabinafsi sana

    Ndio maana nyimbo nyingi ni mama tu wala sijasikia wimbo wa kumsifia baba. tatizo kumbe hili hili mkuu.
  9. NAHINGA

    Nilitegemea hotuba za wastaafu zijikite kujisahihisha kwa nini waliua na kugawa kwa wahindi TTCL, ATCL, NBC, TRL, watueleze kiini cha ESCROW, KAGODA

    Toa mfano wa hoja fikirishi hapa ambayo wewe umewahi kutoa..vinginevyo itakuwa ni walewale wakosoaji wasiotoa mwelekeo wa kufanya baada ya kukosoa.
  10. NAHINGA

    Nilitegemea hotuba za wastaafu zijikite kujisahihisha kwa nini waliua na kugawa kwa wahindi TTCL, ATCL, NBC, TRL, watueleze kiini cha ESCROW, KAGODA

    Tulia mkuu mawazo hayapigwi rungu...ukizungumza wewe mbona tutakuelewa tu. usijipe oresha ya bure
  11. NAHINGA

    Video: DC Dodoma, Katambi awaagiza watendaji kutowatangaza wapinzani hata kama watashinda uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Halafu hata muonekano huku CCM amepauka kule CDM alikuwa anang'aa mkuu. Anateseka sana moyoni huyu kijana.
  12. NAHINGA

    Mradi wa umeme Stieglers, kweli Magufuli kaona mbali

    Huwa siwaelewi watu ninyi...wakati ule serikali ya awamu ya nne ya JK inatuambia kuwa umeme wa gesi ndio suluhisho na kwamba tutauza umeme nchi nyingine mana gesi ipo ya kutosha mkatumia maneno haya haya mnayoyatumiia leo kwa mzee JPM. Siku akiondoka madarakani kukawa mradi haukuleta matokeo na...
  13. NAHINGA

    Mzee Jakaya Kikwete awaasa viongozi kuwa kujishusha hakukufanyi usiwe kiongozi. Kujimwambafai hakukufanyi uwe kiongozi zaidi

    :oops: :oops:Mbona kama haueleweki kwa mchango huu mkuu kama unakataa mara unakubali....
Back
Top Bottom