quimby_joey
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 390
- 164
Watu wanachanganya kati ya mkataba wa iptl/tanesco na leseni ya kuzalisha umeme inayotolewa na ewura. Mkataba unaisha 2023, serikali ilichofanya ni kusitisha ku-renew hiyo leseni ya ewura mnamo 2017 iptl walipoiomba... Singa akajiamini akaja kushughulikia itolewe akiamini system bado ni ileile, ndo wakamdaka hadi leo na sio kua alikuja ku-renew mkataba kama inavyosemwa na watu humu ndaniMkataba na IPTL ulishaisha toka 2017 na Mitambo yao ilishazimwa siku hiyo hiyo.