Muhimu: Wababa tubadilike, wanawake wetu wamekuwa wabinafsi sana

kombaME

JF-Expert Member
Aug 24, 2015
2,115
2,809
Wababa tupo kwenye hatari ya wengi wetu kufa mapema sababu ya stress na upweke hasa tunapoingia uzeeni.

Wanawake wetu wameingiwa na roho ya ubinafsi sana siku hizi, wanawapandikiza watoto mafundisho ya kishenzi sana na kutaka kuwaaminisha watoto kwamba wao ndo kila kitu kwenye maisha yao na baba ni kama yupo yupo tu hana msaada, watoto wanakua na hiyo hali na mwisho wa siku wamama ndo wanapata heshima kubwa mbele za watoto kuliko sisi wababa, watoto wanawaheshimu na kuwajali zaidi mama zao kuliko baba zao hali hii hupelekea wazazi wengi wa kiume kupata msongo wa mawazo na kufa mapema, ndo maana dunia hii wajane ni wengi kuliko wagane.

Muda Umefika sasa Sisi wababa kutowaamini tena hawa wamama, Nakuomba kama ni Ada, au zawadi yoyote tafadhali usimpe mama ampe Mtoto, mpe wewe mwenyewe kama baba, na umwambie wazi hii hela nimeitafuta mimi nakupa ukaifanyie moja mbili tatu.. mtoto aone kwa macho itasaidia sana kukuthamini na kukuona unafanya kama baba.

Wanawake wetu wamekuwa na Roho mbaya, hasa hasa nyinyi wababa ambao mlizaa tu na mwanamke alafu hauishi nao ila unawajibika kutuma fedha kwa ajili ya mahitaji ya mtoto wako, nikuambie tu hela akishaipokea yule mama, Akupe credit wewe bali anamwambia mtoto mimi ndo nimechakarika kupata hii hela baba ako yupo na vimada huko hata hakukumbuki.. unafika uzeeni mtoto yupo pazuri kwa hela zako anaanza kukuletea dharau na kutokukuthamin. Inauma sana.

Ni hayo tu wababa wenzangu.
 
Mkuu umeongea ukweli sana.

Kwenye adhabu
Familia nyingi tumeaminishwa baba zetu ni wakali kuliko mama.ukifanya kosa baba ndo anasubiriwa aje kukuadhibu alafu unaeza kuta wakati anakuadhibu mama anatokea anaomba tena umwache unazani mtoto anajenga picha gan?

Ila tu mama zetu waache kuwapa maneno mabaya watoto kuhusu baba zao haijengi ila inabomoa
 
Bora umeshtuka mapema. Kuna yale kutishia watoto kuwa ngoja baba aje, nilishapiga marufuku anataka uonekane wewe ndo mkatili ila yeye msafi. Niliishamwambia wife mtoto akikosea hakuna kunisubiria , yeye atoe adhabu
Wewe unatoa adhabu halafu wanakuzunguka na kwenda kubembelezana
Umewaza mbali sana mkuu, tushtuke
 
Daaah! Umeongea ukweli kabisa. Hii si kwa wasio ishi na wanawake zao tu, hata wanaoishi na wanawake tena wa ndoa. Inakuta baba anawajibika kwa kila kitu kumsomesha, kulisha familia na mambo mengine ya famililia, lakini mama haoni hayo anawajaza watoto ujinga n upuuzi, wanamdharau baba na kumuona si chochote.

Watoto wa kiume unakuta wamekaa na mama yao kumjadili baba yao, siku zote wao ni kutafuta mabaya ya baba na mabaya ya mama hawayaoni. Mama anajifanya mali zote ni zake baba hana chochote.

Wakati huo na wao wamesahau kuwa ni wanaume na watakuja kuwa na wake na watoto, na mambo yote wanayomfanyia baba yao yatawageukia tena kwa speed ya 4G.

HUU NI UBINAFSI WA KIWANGO CHA LAMI.... WANAWAKE TUBADIRIKE. ASANTE

Popote pale ulipo baba Yangu nakupenda sana na nitakupenda siku zote
 
Wanawake hawa waliozaliwa 80's na kuendelea, weng wao ni hovyo sana, hawajitambui, wala hawajielewi nafasi yao na mipaka yao ni ipi. Ni wabinafsi, wajeuri, wana roho mbaya,, hata malezi ya watoto hawajui.. Wakizaa mapenz yote anajifanya anahamishia kwa mtoto na mume anamsahau kwa 100%.. Mtoto anasema 'mtoto wangu', wakat mmezaa wote, pumbaf sana.

Naunga mkono hoja ya mtoa mada, tusiwaamini wanawake kwa 100% ni wabinafsi sana na weng wapo kimaslah zaid kuliko upendo.
Siyo wa 80s tu hata wa 60s ni hovyo tu mi nimeshuhudia sana. Na ukipata mwanamke wa hivyo ni hasara. Mwanamke anayeshindana na mwanaume na kujifanya yeye ndo kichwa. Inaboa, inakera na inadikitisha.
 
Daaah! Umeongea ukweli kabisa. Hii si kwa wasio ishi na wanawake zao tu, hata wanaoishi na wanawake tena wa ndoa. Inakuta baba anawajibika kwa kila kitu kumsomesha, kulisha familia na mambo mengine ya famililia, lakini mama haoni hayo anawajaza watoto ujinga n upuuzi, wanamdharau baba na kumuona si chochote.

Watoto wa kiume unakuta wamekaa na mama yao kumjadili baba yao, siku zote wao ni kutafuta mabaya ya baba na mabaya ya mama hawayaoni. Mama anajifanya mali zote ni zake baba hana chochote.

Wakati huo na wao wamesahau kuwa ni wanaume na watakuja kuwa na wake na watoto, na mambo yote wanayomfanyia baba yao yatawageukia tena kwa speed ya 4G.

HUU NI UBINAFSI WA KIWANGO CHA LAMI.... WANAWAKE TUBADIRIKE. ASANTE

Popote pale ulipo baba Yangu nakupenda sana na nitakupenda siku zote
Wanakuja kukujibu kiufupi watakuja kukupinga sasa hivi hapa kwa ukweli mchungu sana huu
 
Daaah! Umeongea ukweli kabisa. Hii si kwa wasio ishi na wanawake zao tu, hata wanaoishi na wanawake tena wa ndoa. Inakuta baba anawajibika kwa kila kitu kumsomesha, kulisha familia na mambo mengine ya famililia, lakini mama haoni hayo anawajaza watoto ujinga n upuuzi, wanamdharau baba na kumuona si chochote.

Watoto wa kiume unakuta wamekaa na mama yao kumjadili baba yao, siku zote wao ni kutafuta mabaya ya baba na mabaya ya mama hawayaoni. Mama anajifanya mali zote ni zake baba hana chochote.

Wakati huo na wao wamesahau kuwa ni wanaume na watakuja kuwa na wake na watoto, na mambo yote wanayomfanyia baba yao yatawageukia tena kwa speed ya 4G.

HUU NI UBINAFSI WA KIWANGO CHA LAMI.... WANAWAKE TUBADIRIKE. ASANTE

Popote pale ulipo baba Yangu nakupenda sana na nitakupenda siku zote
Nami pia nakupenda sana mwanangu kipenzi changu cha roho
 
Mimi ni Mwanamke lakini ni kweli kabisa kuna baadhi ya Wanawake wanapenda kupandikiza maneno ya uongo kwa Watoto wao kuhusu Baba zao kuwa hawana msaada wowote katika familia, wakati unakuta Baba ndiyo anawajibika katika familia kwa kila jambo, Watoto nao wanaona Mama yuko sahihi siyo vizuri kabisa na kila mtu atavuna kile anachokipanda, Wanawake tubadilike tuache roho mbaya.
 
Daaah! Umeongea ukweli kabisa. Hii si kwa wasio ishi na wanawake zao tu, hata wanaoishi na wanawake tena wa ndoa. Inakuta baba anawajibika kwa kila kitu kumsomesha, kulisha familia na mambo mengine ya famililia, lakini mama haoni hayo anawajaza watoto ujinga n upuuzi, wanamdharau baba na kumuona si chochote.

Watoto wa kiume unakuta wamekaa na mama yao kumjadili baba yao, siku zote wao ni kutafuta mabaya ya baba na mabaya ya mama hawayaoni. Mama anajifanya mali zote ni zake baba hana chochote.

Wakati huo na wao wamesahau kuwa ni wanaume na watakuja kuwa na wake na watoto, na mambo yote wanayomfanyia baba yao yatawageukia tena kwa speed ya 4G.

HUU NI UBINAFSI WA KIWANGO CHA LAMI.... WANAWAKE TUBADIRIKE. ASANTE

Popote pale ulipo baba Yangu nakupenda sana na nitakupenda siku zote
Barikwa wewe ambaye umelielewa hili
 
Siyo wa 80s tu hata wa 60s ni hovyo tu mi nimeshuhudia sana. Na ukipata mwanamke wa hivyo ni hasara. Mwanamke anayeshindana na mwanaume na kujifanya yeye ndo kichwa. Inaboa, inakera na inadikitisha.
Kabisa
 
Mimi ni Mwanamke lakini ni kweli kabisa kuna baadhi ya Wanawake wanapenda kupandikiza maneno ya uongo kwa Watoto wao kuhusu Baba zao kuwa hawana msaada wowote katika familia, wakati unakuta Baba ndiyo anawajibika katika familia kwa kila jambo, Watoto nao wanaona Mama yuko sahihi siyo vizuri kabisa na kila mtu atavuna kile anachokipanda, Wanawake tubadilike tuache roho mbaya.
Nashukuru sana mama
 
Wababa tupo kwenye hatari ya wengi wetu kufa mapema sababu ya stress na upweke hasa tunapoingia uzeeni.

Wanawake wetu wameingiwa na roho ya ubinafsi sana siku hizi, wanawapandikiza watoto mafundisho ya kishenzi sana na kutaka kuwaaminisha watoto kwamba wao ndo kila kitu kwenye maisha yao na baba ni kama yupo yupo tu hana msaada, watoto wanakua na hiyo hali na mwisho wa siku wamama ndo wanapata heshima kubwa mbele za watoto kuliko sisi wababa, watoto wanawaheshimu na kuwajali zaidi mama zao kuliko baba zao hali hii hupelekea wazazi wengi wa kiume kupata msongo wa mawazo na kufa mapema, ndo maana dunia hii wajane ni wengi kuliko wagane.

Muda Umefika sasa Sisi wababa kutowaamini tena hawa wamama, Nakuomba kama ni Ada, au zawadi yoyote tafadhali usimpe mama ampe Mtoto, mpe wewe mwenyewe kama baba, na umwambie wazi hii hela nimeitafuta mimi nakupa ukaifanyie moja mbili tatu.. mtoto aone kwa macho itasaidia sana kukuthamini na kukuona unafanya kama baba.

Wanawake wetu wamekuwa na Roho mbaya, hasa hasa nyinyi wababa ambao mlizaa tu na mwanamke alafu hauishi nao ila unawajibika kutuma fedha kwa ajili ya mahitaji ya mtoto wako, nikuambie tu hela akishaipokea yule mama, Akupe credit wewe bali anamwambia mtoto mimi ndo nimechakarika kupata hii hela baba ako yupo na vimada huko hata hakukumbuki.. unafika uzeeni mtoto yupo pazuri kwa hela zako anaanza kukuletea dharau na kutokukuthamin. Inauma sana.

Ni hayo tu wababa wenzangu.
Ndio maana nyimbo nyingi ni mama tu wala sijasikia wimbo wa kumsifia baba. tatizo kumbe hili hili mkuu.
 
Bora umeshtuka mapema. Kuna yale kutishia watoto kuwa ngoja baba aje, nilishapiga marufuku anataka uonekane wewe ndo mkatili ila yeye msafi. Niliishamwambia wife mtoto akikosea hakuna kunisubiria , yeye atoe adhabu
Wewe unatoa adhabu halafu wanakuzunguka na kwenda kubembelezana
Kama unaogopa kuchukiwa na watoto wako wakuzaa I pity you, Baba ndo dume nyumbani lazima achukue maamuzi magumu katika kulea familia kama watoto wanaamua kunichukia pamoja na mama yao kwa maamuzi magumu ya kulea familia basi waendelea NB...wewe mwana umme yoyote usifanye kosa kuzaa watoto wako wote kwa mwana mke moja.......ukifanya hilo shauli yako......
 
Mimi ni Mwanamke lakini ni kweli kabisa kuna baadhi ya Wanawake wanapenda kupandikiza maneno ya uongo kwa Watoto wao kuhusu Baba zao kuwa hawana msaada wowote katika familia, wakati unakuta Baba ndiyo anawajibika katika familia kwa kila jambo, Watoto nao wanaona Mama yuko sahihi siyo vizuri kabisa na kila mtu atavuna kile anachokipanda, Wanawake tubadilike tuache roho mbaya.
Umeongea vizuri sana dada yangu,hili lina ukweli 100%,ubinafsi kwa wanawake wa sasa umezidi na unaharibu kila kitu. Cha msingi watambue maisha yapo tu toka enzi za Adamu na EVA.YOTE YATAPITA ULIMWENGU UTABAKI PALEPALE
 
Back
Top Bottom