NAHINGA
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 1,019
- 338
Toa mfano wa hoja fikirishi hapa ambayo wewe umewahi kutoa..vinginevyo itakuwa ni walewale wakosoaji wasiotoa mwelekeo wa kufanya baada ya kukosoa.Badala ya kujikita kwenye hoja fikirishi na nzito wao wanazama kwenye unyenyekevu na kujishusha!.
Wanazama kwenye mipasho ya kwenye kanga badala ya kuongea vitu vya kizalendo, Nyerere alikuwa mnyenyekevu lakini alijaliwa uwezo wa kuwa na msimamo thabiti usiyoyumbishwa.
Nyerere alikuwa anapenda kusikiliza ujenzi wa hoja zenye mantiki, lakini hakukubaliana na majungu ya makundi ndani ya chama.
Nyerere kama akiinuka leo kutoka kaburini atakaowashangaa ni wengi tu ambao wamo ndani ya ukumbi na kujadili mchango wake kwa taifa hili.