Kwa sababu mtoto hawezi kukiri imani ya ubatizo bali wauminini hukiri imani kwa niaba yake. Ktk roho hakuna kitu kama kukiri kwa niaba.
Kwa hiyo ukibatiza mtoto ni kama unacheza movie tu hajui hata maana ni nini..? Wala hajakili imani popote kwa kinywa chake na utashi wake.
Rum:10:9-12
Yaani hapa kwenye kujua maswali yatakayoulizwa siku ya kiama na majibu yake ndio huwa mnanicha hoi .
Yaani mnajua kabisa MUNGU atauliza swali gani na Issa atajibu hivyo hivyo bila kupindisha ..
Duuh
Hata kama watu 2 wataamini dunia nzima hilo halizuii maandiko kutimia.
In future idadi ya watu wanaoamini watazidi kupungua zaidi .
Lakin haitabadilisha maana ya maandiko kutimia .
NWO lazima itokee sababu mwanadamu alisha pewa tahadhari na maandiko ya dini zote .Biblia na Quran zote zimeeleza kuhusu kuja kwa mpinga Kristo.
In short.
MUNGU hawezi kujipinga mwenyewe alishaandika na lazima itokee otherwise Manabii na mitume wake wataokena ni waongo kwa kutabiri vitu...
Pamoja na science na Techn yote ya mwanadamu hajaweza kutengeneza damu hata ya Kuku .
kuna siri nzito ktk damu .
Huenda damu ndio malango kati ya ulimwengu wa Nyama na ulimwengu was Roho
Haya mambo ukiwaza sana unaweza usifanye mishe zako.
Siku moja nimeingia saloon maeneo ya tabata barakuda.
Aliingia mama mmoja na heshima zake jamaa wakamkabidhi fuko umejaa nywele mother akasepa now.
Cha ajabu sikupata akili ya kuuliza kwa nini wanampatia mother mfuko nywele mpaka nilipofika...
Waizrael ni wagumu Sana na Sana roho nzito ktk kuamini.Kama Pharaoh angewaruhusu kwa hiari wasingeli muamini MUSA Kama ametumwa na MUNGU .
MUNGU alifanya moyo wa Pharaoh uwe mgumu ili aipige nchi kwa mapigo makuu.
Na kupitia mapigo hayo waliamini kuwa kweli MUSA ametumwa na MUNGU sababu tu...
Wanazingua tuu..! Ka virus kadogo ka CORONA kametupeleka puta mbaya hayo ya Venus watayaweza kweli..??
Fikiria ka kirusi kanakufa na sabuni na maji ukitia pombe kanalewa zaidi kametupeleka mbaya yaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.