Wakenya bwana wanapenda sifa za kijinga!! Kama Tanzania ingekuwa na tamaa basi sehemu yote ya Uganda ingekuwa ipo Tanzania na hata Kenya yote, sema Tanzania haina tamaa
Mkuu wewe kama si mmoja wa wanafamilia ya jk basi utakuwa unajipendekeza kwa kiwango cha juu sana, lkn usihofu wa kuchafuliwa ni kina zungu, manji, mbowe lkn si hao unadai wanachafuliwa..bila shaka unafaidika maovu yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.