Kuna mmoja kasema mwanamke wa Kinyakusya ukimgusa tigo ndo mmeachana..naona kama ni ukweli ila sijawahi jaribu hii kitu kabisa na sitaki. Hope nitaoa uko.
Duh umenikumbusha shule..Nairobi pale kawangware HIDDEN TALENT hiyo chini ya pastor ENOC miaka hiyo nilikuwa naenda Kwa wale jama pale wanapika githeri pamoja na mthogoi aisee ukiweka na parachichi yaani kishule shule hata siwezi sahau aisee
Kaisha sema yeye anakilia shida wakati mwambie aende YouTube atafuge interview ya Dada wa hapa mwanza anayeuza bakuli 40 za makande na tena wateja wake wakiwa ni wafanyakazi wa benki na wanalipa sh.5000 Kwa parkage... Sijui shida iko wapi hapo
Ili umtumie ila tayari umeshasema unamzingua...ila hadi nimekumbuka kwenda shinyanga Kwa mama Yangu maana sio Kwa Yale makande ya kwenye kupikia kuni...duh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.