Recent content by Mzyondi

  1. Mzyondi

    Rais wetu tumeshamjua, twende na midundo yake!

    Kati ya watu niliokuwa nawaamini wewe ni mmojawao lakini kwa taklibani mwaka na nusu umegeuka kinyonga, maandiko yako mengi yamekuwa ya kusujudia serikali ya chama cha mapinduzi,siku hizi kwako sio issue Wanasiasa wa upinzani kunyimwa Uhuru wao wa kufanya siasa,kukamatwa na kunyimwa dhamana...
  2. Mzyondi

    TUNDU LISU ANASTAHILI TUZO YA MWANASIASA JASIRI

    Licha ya serikali kuweka mazingira magumu sana kwa wanasiasa hasa wa upinzani kufanya wanasiasa wengi wamekuwa wakifanya siasa katika mazingira magumu sana ikiwa ni pamoja na kukamatwa kuhojiwa na jeshi la polisi, kupelekwa mahakamani na kushitakiwa kwa makosa ya kufanya kusanyiko/maandamano...
  3. Mzyondi

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

    Kama ilivyotarajiwa mh magufuli amefanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri kwa kumteua Paramagamba kabudi kuwa waziri wa katiba na sheria na Mwakiembe ameteuliwa kuwa waziri wa habari sanaa na michezo, Nape out Makonda chapa kaziiiiii.
  4. Mzyondi

    Timua Timua CCM, Hongera M/Kiti Magufuli, Wapinzani Mjifunze Kutoka CCM

    Mayala wewe naye umeshakuwa jipu mpenda sifa wewe kila wakati unajipendekeza kwa wakubwa. kwa kutetea kila kitu kinacchofanywa na Rais au Makonda hata kama wamefanya. ya kinjinga wewe unakuwa wa kwanza kuwakingia kifua, unaweza vipi kutetea mtu anayesadikika kughushi vyetu kwa hoja dhaifu zisizo...
  5. Mzyondi

    Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

    Wakati Paulo Makonda alipoanzisha vita dhidi ya madawa ya kulevya kwa kutaja majina ya baadhi ya wasanii akiwatuhumu kutumia na kusambaza madawa ya kulevya mapro-ccm walimshagilia wakampa sifa kedekede kwamba sasa mihadarati imepata mtu sahihi wa kuitokomeza kabisa, wenzao pro-Chadema na wote...
  6. Mzyondi

    CHADEMA wamtelekeza Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Geita, Mhere Mwita baada ya kupata ajali Dodoma

    Lizabon acha uongo Mhere ninayemfamu siyo ombaomba kama unavyotaka awe nimewasiliana naye hajayathibitisha hayo madai yako, sasa unataka tukuamini wewe au tumuamini yeye mwenyewe mhusika ambaye ameyakana madai yako? usiwe mmbeya kama mtoto wa kike, ya lumumba yamekushinda umekuja kupalamia ya...
  7. Mzyondi

    Tundu Lissu hajamshangaa waziri Mwakyembe juu ya yeye kugombea urais TLS asema neno

    Mr Kitila hongora kwa kumuunga mkono Lisu
  8. Mzyondi

    Mgawanyo wa ruzuku kwa vyama vya siasa

    Naomba ufafanuzi wa mgawanyo wa ruzuku kwa vyama vyenye sifa ya kupata ruzuku, kutokana na matokeo ya uchaguzi wa mwaka juzi kila chama kinapata shilingi ngapi kwa mwezi?
  9. Mzyondi

    Jicho letu ndani ya habari Star Tv huyo Moses Mathew mmemtoa wapi?

    Kipindi maarifu cha jicho letu ndani ya habari mtakiharibu kwa kuendelea kumualika Moses Mathew, yaani huyo jamaa ni jipu akiulizwa swali ili atoe ufafanuzi anajibu vitu vingine kabisa nje ya swali anatikisa masikio? Nusura ya kuvunja kiti alichokalia.
  10. Mzyondi

    CHADEMA tujihahihishe kwa maslahi ya taifa

    Nazungumzia CHADEMA chama cha siasa na sifahamu kama kuna saccos yenye jina hilo
  11. Mzyondi

    CHADEMA tujihahihishe kwa maslahi ya taifa

    Ni zaidi ya mwaka sasa tangu kufanyika uchaguzi mkuu uliokuwa na ushindani mkubwa baina ya ccm na cdm(UKAWA)na hatimaye mgombea wa ccm kutangazwa mshindi kwa kura chache, kabla ya uchaguzi mchakato wa kuwapata wagombea uligubikwa na utata, baadhi ya washindi wa kura za maoni kwenye majimbo...
  12. Mzyondi

    CHADEMA mjifunze kwa Trump kama mnaitaka Ikulu

    Cha msingi ni Cdm kuanda mchakato wa wazi utakaowezesha kupata mgombea bora, ninaamini wananchi wengi tuko tayari kwa mabadiliko
Back
Top Bottom