Lwakatare aomba Bukoba wapunguziwe kodi vifaa vya ujenzi, Magufuli amjibu ajenge kiwanda awapunguzie

Akiwa IKULU anasema yeye ndio amezunguka nchi nzima anajua Shida za WANANCHI MASIKINI na ndio waliompigia kura Kwaio SERIKALI YAKE NI YA MASIKINI.

Akiwa kwa hao MASIKINI anawaambia MWAAFA. Hakuna MSAADA kila MTU ABEBE MSALABA WAKE.

Sijui ni Masikini wapi huwa ana wazungumzia.
Hata mimi simwelewi ni maskini gani hao anaowazungumzia!
 
Nyie waropokaji huwa mjaaa tuu humu jf uzuri nimeangalia marudio ya hotuba hii pale itv alimjibu vizuri sana tena sana...............alimwambia waziri wa viwanda na Mbunge watafute mwekezaji kule kuna madini ya bati wakimpata wataweza kupanga bei lakini ni vigumu kutegemea mabati kutoka dar yapunguzwe bei unayo taka wewe ni vigumu sana watu wanafanya biashara...
Utakuwa hujui unalolijadili, au unalipotosha kwa makusudi. Baada ya tetemeko kule Kagera baadhi ya wafanyabiashara (wa maduka ya jumla) walikubali kupunguza kwa kiasi kidogo bei ya mahitaji muhimu kama mabati na sementi ili kusaidia wahanga. Na walifanya hivyo baada ya kuhamasishwa tu na viongozi huko Kagera.

Alichokuwa anakiomba mbunge Rwakatare, ni Rais kutumia ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa nchi, kuwaomba wenye viwanda vya simenti na mabati kupeleka mahitaji hayo kwa wanakagera kwa bei dogo, na serikali inayojali kweli masikini (sio inayopiga porojo ya kujali masikini) jambo hilo ni rahisi kwa kuwa serikali inaweza kukaa na wenye viwanda na kufikia mwafaka ambao utawapa nafuu wenye viwanda kwa namna nyingine, wakati wakiwasaidia wahanga wa tetemeko kwa kuwapunguzia bei ya mahitaji ya ujenzi. Sasa kama hao wafanyabiashara waliweza japo kwa kiwango kidogo kwanini viwanda vishindwe?

Hili la kuwaambia wasubiri kiwanda kijengwe huko Kagera lina uhusiano gani na ombi la mbunge leo? Au wewe na mwenye hoja unayoishangilia mlimaanisha kwamba wana Kagera waanze sasa kujenga viwanda vya sementi na mabati ili wakipatwa na tetemeko jingine huko mbele ya safari viwanda hivyo vitawapunguzia bei, siyo?
 
Hawa watu wa bukoba nao bana,wanachosha sana,mara ukimwi,mara juliana,mara tetemeko,mara katerelo,mara mto ngono,,ha ha ha.

Si wajiunge na rwanda au uganda,sisi tumechoka bana
 
Nyie waropokaji huwa mjaaa tuu humu jf uzuri nimeangalia marudio ya hotuba hii pale itv alimjibu vizuri sana tena sana...............alimwambia waziri wa viwanda na Mbunge watafute mwekezaji kule kuna madini ya bati wakimpata wataweza kupanga bei lakini ni vigumu kutegemea mabati kutoka dar yapunguzwe bei unayo taka wewe ni vigumu sana watu wanafanya biashara...
Tetemeko: Magufuli vs Museveni
 
Sasa roho mbaya ipi mdau unajua sisi watanzania tunapenda sana kudanganywa hivyo vifaa haagizi yeye wala bei yake haijui yeye achojua lipa kodi na yule mfanyabiashara analeta kwa ajili ya kupata faida leo hii uje umwambie akushushe bei kivipi
Kama kweli walikuwa na nia ya kupata vya raisi wangechangishana wananchi pamoja na wanabukoba , kagera walio nje ya huo mji kwa umoja wao wangenunua material za ujenzi hapo Dubai ambazo ni bora na ni rais wakakodi kontena la pamoja halafu likifika hapo bandarini hapo sasa ndio mtaweza kuongea kiswahili na Rais na mkaelewana lakini vinginevyo ni ngumu
kuna kitu kinaitwa government subsidy. ipo kwenye pembejeo za kilimo. alichoomba Rwakatare ni equivalent yake kwenye vifaa vya ujenzi, which makes sense.

ila sikupenda Rwakatare alivokuwa anaongea. hana comfo kabisa utafikiri ni mwanafunzi yupo mbele ya headteacher anajitetea kitu. hivi ninyi nshomile mkoje??? aahrr!!
 
Yan hela zao zmejenga miundombinu ya serikali na bado wanakandamizwa tuuu
 
Huyu jamaa akishindwa uraisi 2020 lazima ang'ang'anie. Sidhan km hatokubali kutoka.
Kila mtu abebe msalaba wake. Acha tuisome namba vizuri. 2020 wampe nchi tena ili tuzid kuheshimiana sidhani wale kijan wanawacheka wapiga deki. SAFI SANA. ALETE NA KODI YA KICHWA NA AJIRA ASITOE KBSA NA UHAKIKI UENDELEEE MILELE.
 
Nyie waropokaji huwa mjaaa tuu humu jf uzuri nimeangalia marudio ya hotuba hii pale itv alimjibu vizuri sana tena sana...............alimwambia waziri wa viwanda na Mbunge watafute mwekezaji kule kuna madini ya bati wakimpata wataweza kupanga bei lakini ni vigumu kutegemea mabati kutoka dar yapunguzwe bei unayo taka wewe ni vigumu sana watu wanafanya biashara...
Kajibu vizuri tu tatizo humu jf wakikuchukia hata ufanye mema kiasi gani watajifanya wameziba macho. Alivyokua hajafika Kagera walikua wanapiga kelele sasa hivi ameenda wanatafuta sababu nyingine.
 
Maisha ya kutegemea serikali ikufanyie kila kitu yamekwisha kila mtu abebe msalaba wake now.
 
LWAKATARE ALIOMBA WAPUNGUZIWE KODI KATIKA VIFAA VYA UJENZI ILI WANANCHI WAWE NA UWEZO KUNUNUA LAKINI MAJIBU YAKE ALIPEWA CHANGAMOTO AKAJENGE KIWANDA CHA BATI ILI AUZE KWA BEI ANAYOTAKA
 
Magufuli ni mwiba kwa waliodumaa akili ufipa kila siku ni kulialia tu wapewe msaada, lakini Magufuli ni nuru kwa wanaotaka changamoto mpya na kijikwamua kimaisha.
Wapewe bilion 16 zao kwani kuna umuhim gan wajenge uwanja chato na sio kuweka ruzuku kwa waanga Lupyeee unauza wa tanzania wenzio kwa elf 7
 
Nyie waropokaji huwa mjaaa tuu humu jf uzuri nimeangalia marudio ya hotuba hii pale itv alimjibu vizuri sana tena sana...............alimwambia waziri wa viwanda na Mbunge watafute mwekezaji kule kuna madini ya bati wakimpata wataweza kupanga bei lakini ni vigumu kutegemea mabati kutoka dar yapunguzwe bei unayo taka wewe ni vigumu sana watu wanafanya biashara...
Hivi unajua procedure za kuanzisha kiwanda?? Hili tukio hujui ni la dharura ?? Kwa hyo hao wananchi wakae kwenye mahema mpaka kiwanda kitengemae?? Seriously??
Kwani knachofanya bei ipande si SHIFTABLE TAX je serikali ikiipunguza kutokea kwa manufacturer au kwa wanayoyaingiza ili wao wayauze kwa bei ya kiwandani haiwezekani??? Hvi hakuna hta percent ya misaada ya mabilioni waseme itasaidia kusafirisha mabati hayo ya bei rahisi either kutokea dar au hta kampala ili wajenge maana ni tukio la dharura..... afu ruttashoborwa unashabikia kabisa??? Hvi kweli wataalam wa mambo ya makazi kma tibaijuka naye anacheka tu as if hana idea ya kumsaidia kumshauri rais aliangalie suala hilo kwa upana zaidi maana hapo ni INCENTIVES tu kma mifano aliotolea lwakatare na serikali ilikwisha fanya zamani sasa hilo ndo lakujibiwa kipapara bila kufkiria mara mbili au hta kutoa nafasi ashauriwe kabla hajasema conclusion???
HII NCHI HII SO PATHETIC
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom