Recent content by Mzunde

  1. Mzunde

    Nifanye nini ili nipate ajira?

    hapana mkuu nimeweka udereva tuu
  2. Mzunde

    Nifanye nini ili nipate ajira?

    Nipo Dar es salaam naweza kufanya kazi yoyote ambayo ipo ndani yahizo proffesional mbili nilizonazo mkuu
  3. Mzunde

    Nifanye nini ili nipate ajira?

    Jamani naandika kwa uchungu sana, mwenzenu nina miaka saba sasa tangu nimemaliza chuo sijawahi bahatika kupata ajira popotee. Nilisoma BBA baada yakuona mambo magumu nikaenda driving nasasa nina hadi cheti cha NIT cha proffesional driving lakini bado sioni mwanga. Naomba ushauri mzuri...
  4. Mzunde

    Blue ticks za whatsapp: Ni kwamba huyo mtu yupo busy sana au ameamua tu kukuonesha dharau za waziwazi?

    Inaonekana ni mkopaji sana mkuu,,badili njia yakufikisha ujumbe iliusikereke,,piga simu kabisa
  5. Mzunde

    Nataka kuikimbia Dar es salaam

    Broo usikimbie dar,,usikate tamaa,badili mawazo ya aina ya kazi unayotaka kufanya,usiwe selective sana katka kuchagua kazi,,.we tuliza akili usipanic kabisa nautajikuta unafanya maamuzi sahihi,,nakuombea mafanikio mema mkuu
  6. Mzunde

    Muda sahihi wa kijana kujenga ni upi?

    Jamani mwenzenu nipo katika nyumba yakupanga kwa miaka mitano (5) sasa tangu nimeoa naishi kwenye nyumba ya kupanga, ndugu wananiandama nijenge afu mwenyewe naona bado muda wangu wa kujenga. Sasa, naomba jamani tuambiane hapa ni upi muda sahihi wa kujenga hasa kwasisi tuliopo Dar.
  7. Mzunde

    Mshana Witch project

    Ahahaaaa,,,mshana boya sana
  8. Mzunde

    Napataje vioo vya kuzuia risasi?

    Vya chumba mkuu nahitaji sana
  9. Mzunde

    Napataje vioo vya kuzuia risasi?

    Wakuu habarini humu ndani, Tafadhali sana naomba mwenye uelewa wa namna ya kuvipata vioo vinavyozuia risasi, wapi vinapatikana na hatua za kuvipata. Msaada jamani
  10. Mzunde

    Wanawake kubania unyumba ni sababu kuu ya wanaume kutoka nje ya ndoa

    Habarini humu ndani, Kwa utafiti mdogo nilioufanya moja ya mambo yanayochangia wanaume wengi kuchepuka ni suala la wanawake wengi waliondani ya ndoa kutotoa unyumba inavyostahili. Unakuta mwanamke usiku unaomba gemu anakwambia nimechoka na husema nimechoka mara nyingi. Sisi wanaume tukitoka...
  11. Mzunde

    Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

    Asalaam wote humu ndani, Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaonekana? Mbona hajaapishwa? Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.
  12. Mzunde

    CHADEMA kutoa taarifa rasmi kwa vyombo vya habari na Umma kutokana na hali halisi iliyojitokeza

    Yaan vi chadema vinakela kinoma, kila siku matamko wala havina action, ongozeni watu weni waingie kati waanze mapambano ndo mana ccm wamewazoea hv
  13. Mzunde

    Tukishamaliza kuonyesha Unafiki wetu kwa Kifo cha Akwilina turejee na vile vya Mahospitalini

    Gentamysin mkuu nazid kupata wasiwasi nawewe,, haya bwana ngoja niendelee kukuvumilia
  14. Mzunde

    Kwa mazoezi ya Mandata niliyoyaona Oysterbay nashauri Kesho timizeni haki yenu muondoke

    Gentamysin we boya kweli, unaheshimu mbunye kuliko mambo ya maana,, shwaini kabisa , mbunye zipo hata kuzimu utazikuta tuu,, pambana pumbav wewe!!
Back
Top Bottom