Mzunde
Senior Member
- Aug 30, 2016
- 141
- 103
Habarini humu ndani,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya moja ya mambo yanayochangia wanaume wengi kuchepuka ni suala la wanawake wengi waliondani ya ndoa kutotoa unyumba inavyostahili.
Unakuta mwanamke usiku unaomba gemu anakwambia nimechoka na husema nimechoka mara nyingi.
Sisi wanaume tukitoka nje michepuko hata siku moja haisemi 'nimechoka' anajiachia kwenye gemu hadi sarakasi anaruka yaani unapewa style zote sasa mimi naachaje kuchepuka?
Mimi ni mmoja wa janga hili linanipata sana!
Kwa utafiti mdogo nilioufanya moja ya mambo yanayochangia wanaume wengi kuchepuka ni suala la wanawake wengi waliondani ya ndoa kutotoa unyumba inavyostahili.
Unakuta mwanamke usiku unaomba gemu anakwambia nimechoka na husema nimechoka mara nyingi.
Sisi wanaume tukitoka nje michepuko hata siku moja haisemi 'nimechoka' anajiachia kwenye gemu hadi sarakasi anaruka yaani unapewa style zote sasa mimi naachaje kuchepuka?
Mimi ni mmoja wa janga hili linanipata sana!