Hili ndio tatizo la mtu anaposhindwa kukutana na mchepuko wake kunakosababishwa na kushtukiwa na mkewe basi anakuja kutupumzikia humu maana anakosa la kufanya!!
Hiyo chopa ni ya mwekezaji mmarekani ambaye anafanya shughuli za utalii eneo hilo na anaruhusiwa kushiriki doria hivyo hiyo chopa yake ilikuwa katika doria na askari wanyamapori walikuwa chini na magari wakisubiri wapewe cordinates na huyo rubani baada ya kuruka na kuona wapi mizoga ya tembo...
Ninachokiona sio lazima sana jeshi ni hao askari wa wanyamapori wapewe vifaa, mafunzo zaidi na mazingira bora ya kazi yao yaboreshwe nawafahamu hao askari ni wazuri sana wakiwa kwenye kazi zao porini. Wanakosa support tu mfano hapo askari wanyamapori angeua jangili alafu baadhi wakakimbia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.