Recent content by mzeewadriver

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mabere Marando na utetezi wa Manji

    Ni nani anawatetea wale wajamaa waliokamatwa kwenye bahari yetu wakujichotea rasilimali zetu?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu awachambua CHADEMA; Lema amtuhumu kudanganya

    Kama mwizi ubora unatoka wapi? tusiume na kupuliza kuwa upande mmoja ueleweke.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji Motherboard ya Dell Latitude ATG D630

    Ahsante kwa ushauri mkuu, nimekupata. Nilishasoma hiyo site before, unachokisema inaweza ikawa ni kweli. Lakini nimeshajaribu kubadili moja kati ya power ic's lakini still tatizo liko pale pale, ilikuwa inawka power light na kuzima unapowasha lakini kwa sasa ndo kimya kabisa. nitajaribu...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji Motherboard ya Dell Latitude ATG D630

    Waungwana ninahitaji motherboard ya Laptop, Dell Latitude ATG D630, kama kuna mtu anayo, au anafahamu zinapatikana wapi anijulishe, mpya au used zote zinakubalika.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mizengo Pinda atangazwa kuwa Waziri Mkuu tena

    Hapo hajakosea kabisa
  6. M

    JamiiForums Tanzania HISTORIA: Safari ya Anna Makinda kutoka Naibu Spika hadi Spika wa JMT

    Tumpe nafasi, maadam bunge linaendeshawa kwa sheria basi ni hizo hizo sheria zitatumika kumkosoa.
  7. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 Ni Wakati Wa Vitendo: Kadi Yangu ya Chadema Hii Hapa

    Kwa nini iwe kazi? Una wasiwasi atapandisjha Dau?
  8. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 Walio hudhulia Kikao cha Siri Mwanza hawahapa,, Mmoja hajasema kitu

    Naamini Dr Slaa hawezi kufanya kosa, kuitumia hiyo barua kama kielelezo. Hizo ni mbinu chafu tu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 Walio hudhulia Kikao cha Siri Mwanza hawahapa,, Mmoja hajasema kitu

    KAma kigezo ni ile barua, ww unashindwa kuitengeneza ile barua? Tujaribu kupanua mawazo. Ule si ushahidi tosha.
  10. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania: Ajifyeka Nyeti Kwa Ugumu Wa Maisha

    Atueleze vizuri ugumu wa maisha unainyofoa, alikuwa anachajiwa siti mbili kwenye gari au ilizidi uzito.Lakini kwa kuwa ni dodoma inawezekana walichomoka pale mirembe.
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 Kutibu Majeraha ya CHADEMA

    Wazo zuri.
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 Ni Wakati Wa Vitendo: Kadi Yangu ya Chadema Hii Hapa

    Hapo sijaona vitendo. Nawashawishika kama vile ya kuokota utaamua kufichficha sura.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mabele Marando aliondokaje Usalama wa Taifa?

    Mh. kwa sasa ni vigumu sana kueleweka ukizingatia kila linapoongewa swala la chadema mbali na kusifia unaonekana mamluki, lakini siku zote ukweli hujitenga na uongo, kinachohitajika hapo ni muda tu. Na safari hii haitachukua muda mrefu saana hili jambo kujitokeza. Naamini M.Marando hatashindwa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa ni mbabaishaji na hafai kuwa kiongozi ?

    Hao wapumbavu ndo milkuwa mnawaomba wakupigieni kura.Hivi unategemea watu wote mkawa na mawazo yayofanana?
  15. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 Waraka wa Lowassa kwa vyombo vya habari

    Hizo tetesi hatuna wakati nazo.
Back
Top Bottom