Elections 2010 Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania: Ajifyeka Nyeti Kwa Ugumu Wa Maisha

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Habari kutoka Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi, Dodoma, zinaeleza kuwa mwananchi mmoja aliyekipigia CCM kura katika Uchaguzi Mkuu uliopita amejifyeka nyeti zake kutokana na kile alichokieleza kuwa "ugumu wa maisha".

Habari hii ni ya kusikitisha kwani haiakisi kauli-mbiu ya CCM ya kuwaletea wananchi maisha bora.

Ninampa pole mwananchi huyu na kumkumbusha kuwa ipo siku atatamani kunyofoa moyo wake kwani kama CCM na mafisadi wataendelea kuwa madarakani, maisha ya watu hayataboreka kamwe.

Tukafanye kazi.
 
Ugumu wa maisha anafyeka Nyeti Duuu Huyu anayake bwana!
 
Habari kutoka Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi, Dodoma, zinaeleza kuwa mwananchi mmoja aliyekipigia CCM kura katika Uchaguzi Mkuu uliopita amejifyeka nyeti zake kutokana na kile alichokieleza kuwa "ugumu wa maisha".

Habari hii ni ya kusikitisha kwani haiakisi kauli-mbiu ya CCM ya kuwaletea wananchi maisha bora.

Ninampa pole mwananchi huyu na kumkumbusha kuwa ipo siku atatamani kunyofoa moyo wake kwani kama CCM na mafisadi wataendelea kuwa madarakani, maisha ya watu hayataboreka kamwe.

Tukafanye kazi.

Huyu mtu ana akili timamu kweli? Sasa baada ya kjifyeka nyeti zake shughuli ile nyingine atafanyaje? Inawezekana hiyo nyeti yake imechangia kumsababishia maisha magumu.
 
Habari kutoka Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi, Dodoma, zinaeleza kuwa mwananchi mmoja aliyekipigia CCM kura katika Uchaguzi Mkuu uliopita amejifyeka nyeti zake kutokana na kile alichokieleza kuwa "ugumu wa maisha".

Habari hii ni ya kusikitisha kwani haiakisi kauli-mbiu ya CCM ya kuwaletea wananchi maisha bora.

Ninampa pole mwananchi huyu na kumkumbusha kuwa ipo siku atatamani kunyofoa moyo wake kwani kama CCM na mafisadi wataendelea kuwa madarakani, maisha ya watu hayataboreka kamwe.

Tukafanye kazi.

Atueleze vizuri ugumu wa maisha unainyofoa, alikuwa anachajiwa siti mbili kwenye gari au ilizidi uzito.Lakini kwa kuwa ni dodoma inawezekana walichomoka pale mirembe.
 
Back
Top Bottom