Kwenye list Yako Kuna matamasha mengine niya mtu binafsi kama nandy na wasafi. Labda ungezungumzia matamasha ya kitaifa yanayogusa watu wote na ambayo sio benefits kwa mtu husika
Pole sana mkuu, sisi binadamu tunatabia ya kusahau tulipotoka,hatuna shukran na kuto kuwa proud na watu waliofanya ufike mahali fulan.
Usivunjike moyo endelea kuwasaidia na wengine pale inapobid na unapo msaidia mtu ww msaidie tu usiwe na expectations zozote. Kama unaye msaidia atatambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.