Kwa sasa kama huna connection hizi ajira mpya za walimu utazisikia hewani tu
Watu wamekuwa wazi kabisa, toa milion mbili upate kazi
Hii haikubaliki, watanzania wamejazana online kuapply kumbe wengine wamepeleka application mkononi
Viongozi wanaohusika na hili je hawaoni rushwa hii ya waziwazi?
Je, hao viongozi nao niwanufaika au?
Watu wamekuwa wazi kabisa, toa milion mbili upate kazi
Hii haikubaliki, watanzania wamejazana online kuapply kumbe wengine wamepeleka application mkononi
Viongozi wanaohusika na hili je hawaoni rushwa hii ya waziwazi?
Je, hao viongozi nao niwanufaika au?