mrMaco
Member
- Jun 19, 2020
- 90
- 151
Kama kichwa kinavojieleza hapo, Kwa taarifa zilizotolewa na serikali katika kudhamini hayo mafunzo ilikuwa mafunzo yaanze kesho tar 17 May 2021. Lakini mpaka sasa walioomba hawajapewa feedback zozote na tarehe 17 ni siku ya kesho.
Sasa sijui wanalichukuliaje hili swala?
Sasa sijui wanalichukuliaje hili swala?