Kanuni za uchaguzi pia zinawataka walio 'TIA NIA' ya kugombea huku ni watangazaji basi waache utangazaji kwanza ili kuleta usawa wa ushindani hivyo huenda waliowekwa pembeni vituo vya utangazaji sababu sio tu 'SHULE' hawana bali wali 'TIA NIA'
Ndio mkuu.. vijijini huko watu bado wana fikra za kurithi. Kuna vijiji ukijifanya unapeleka huduma flani kama kisima cha maji wanahujumu. Wameridhika walivyo. Kwingine wanaamini bado tuko mfumo wa chama kimoja tu CCM
Jifunzeni kutoweka ahadi kwa jambo linalofanywa na wengine..
Wewe hukuwepo kwenye maandalizi ya timu, hukutoa hata pesa ya maji, waarabu hujui wamejipangaje... wala hujui mchezo utakuwaje siku hiyo maana mpira unadunda.
Lawama utaziweza? Watanzania hata ambaye asingechangia au ambaye asingekuja hata kama ungemualika ndiye ataongoza genge la kukusema kutoalika watu wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.