Recent content by mzee wasenta

  1. M

    JamiiForums Tanzania Uhuni, usela na starehe nilizo wahi fanya kwenye maisha yangu

    Miji midogo ukiwa na issue kama izo unakiwa maarufu kwa muda mfupi
  2. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Baada ya Press ya leo ya Gwajima, nani atamjibu?

    Anatutesa "Mama wa kambo" Anachukua Kila kitu chetu anawapa watoto wake, anatuchapa tukisema
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kikwete na Samia, vinara wa maendeleo, demokrasia na amani tanzania

    Dah! Binadamu ni kiumbe mbinafsi sana. Komredi unajali tumbo lako tu! Kwa kikwete big yes! Kwa mama yetu Samia ameonyesha tabia za mama wa kambo.
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kutunukia tunda alafu mnara usisome?

    Dah, usiombe yakukute
  5. M

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    12:20
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madhara ya kukimbia Match ya Derby yashaanza kuonekana

    Bado tunajenga timu😹
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Paul Chacha: Wachezaji wa Tabora wanatumiwa SMS na watu wa Yanga ili walegeze mechi

    Jinga katika ubora wake
  8. M

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa TANESCO Mbeya kukata Umeme mkoa wote siku nzima Jumapili wakati wa ziara ya Lissu ni tukio la kinasibu au hujuma ya Kisiasa?

    Ipo sawa hakuta kuwa na umeme ivyo hatuta kuwa na kazi zinazotegemea umeme. Ivyo wananchi twendeni tukaione, tukasikilize chadema na lisu
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba haikufanya mazoezi uwanja wa Jamhuri Morogoro ikapoteza mechi muhimu

    Ivi ile BM coach ilikuwa inaenda wapi? na ilikuwa imembeba nani?
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Bonge la uzi
  11. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    vp nimeomba kuunganishiwa huduma ya umeme,nguzo ipo karibu lakini Sasa ni zaidi ya siku 7 sijaunganishiwa umeme Tanesco nyakato nimelipa kwa control number, mwanza. Naomba msaada au maelekezo
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

    Umenikumbusha kisa Cha jirani yetu Nikiwa Bado chalii mdogo Kuna mzee jirani alikuwa anafanya biashara sokoni na mke wake alikuwa mama wa nyumbani. Siku moja mzee aliondoka nyumbani kama anaenda kufata mzigo pori yaani kabeba kabegi kadogo ka nguo, ila ndo ilikuwa moja kwa zote hakuja Tena...
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo gani huwa unafanya ukiwa na msongo wa mawazo ama mtu akikukera?

    Una tsh ngapi za kutolea kwa ATM
Back
Top Bottom