mzee wasenta
Member
- Apr 2, 2024
- 58
- 97
Dah, usiombe yakukute
Anakuona lonya kinyaaaaaaama, fanya juu chini umle vinginevyo anakushushia brand hiyo.Kuanzia siku hiyo mdada huyo huwa namlia kwa macho hataki tena kunitunuku tunda.
We ni dume au dumela?Jaman inauma afu usiombe pisi imekuzungusha miezi😹😹🙌🏾
DumelaWe ni dume au dumela?
Saaaaafi kabisa inaonekanaDumela
Siku ikimtokea mtu wako unaishika unachomeka kama utambi wa jiko la maftataa itaamkia hukohuko🤣🤣
We nae sasa itaingiaje haijasimamaSiku ikimtokea mtu wako unaishika unachomeka kama utambi wa jiko la maftataa itaamkia hukohuko🤣🤣
Vipi kama mwanamke sio mpya mmeshazoeana round ya kwanza unaenda vizuri halafu kurudi round ya pili inasimama ukitaka kuweka inasinyaa ni tatizo ganiHakuna ambae haijawai kumtokea,kukamia game na mwanamke akiwa mpya,
Mi ili kuepuka ilo,mwanamke akiwa mpya kuna kitu huwa natumia kutoa hofu na mashine isigome kudisa
Ambae mmezoeana sana ni ngumu,labda kama umechoka sana au ulikunywa pombe kiasi kikubwaVipi kama mwanamke sio mpya mmeshazoeana round ya kwanza unaenda vizuri halafu kurudi round ya pili inasimama ukitaka kuweka inasinyaa ni tatizo gani
Unaisukumiza kama utambi wa koroboiWe nae sasa itaingiaje haijasimama
Atakua anatumia vega!au sildenafil citrate huyo!kitu gani hicho?
Unataka umuumize huyo mwanamke amaUnaisukumiza kama utambi wa koroboi
Ngumu vipi wakati mimi ndio nakueleza means ni kitu nilichokiona mara zote na sio mlevi wala hagusi pombe ila ndio yupo hivyoAmbae mmezoeana sana ni ngumu,labda kama umechoka sana au ulikunywa pombe kiasi kikubwa