Mkuu, kuna kitu nimekinotice... bank ya NBC mara nyingi sana huwa inatema noti mpya.... sasa hii ikoje? Au ndo BoT imewapa haki miliku ya kuchapisha noti? Kama nimetembelea ATM za NBC mara 10 basi mara 8 nimetoa noti mpya... hebu naomba nipate elimu hapo.... hiyo mosi... pili kwa nini bank...
Habarini wana jamvi.... natumai mpo wazima kabisa..
Kuna kipindi nilikuwa katika changamoto fulani za kimaisha (ni kawaida katika maisha kupitia milima and mabonde). Sasa, nilipambana sana kuweka mambo sawa lakaini ngoma bado ikawa ngumu.... kwakuwa nilikuwa msomaji sana wa Biblia na vitabu...
Nchi moja
Nchi moja kweli... lakini kuna baadhi ya vitu vya kimuungano na baadhi ya vitu sio vya kimuungano.... sasa hilo suala la dini sio la kimuungano ndo maana zanzibar pia wana mufti wao....
Kijana umetapali nani tena? Au umefanya ufusadi katika ofisi unayofanyia kazi? "Acha kujifariji kwa mambo ya hovyo na ushetani..."
Mosi: hakuna pesa chafu duniani.. pesa zote ni safi, pesa haina uwezo wa kujichafua wala kujisafisha kwasababu haina uhai.. pesa ni kitu kilichowekewa thamani tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.