Recent content by Mzee wa Zamani

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tangu nijiunge na JF nimekuwa nikivutiwa sana na SERAN

    Tabasamu lake umelionea wapi?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwako wewe mwanaume

    Kwa upande wa sayansi ya technology Sina maana hiyo.. ukipata time ingia youtube sikiliza hotuba ya jack ma... utanielewa vizuri hapo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwako wewe mwanaume

    Kutokujua sio sifa lakini
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwako wewe mwanaume

    ujumbe umekufikia teyari......
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwako wewe mwanaume

    upo sahihi kabisa.... mwanaume kuweka tu taa hadi aite fundi kwanini wasidai 50/50.....
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwako wewe mwanaume

    Ukizaliwa mwanaume ishi kama mwanaume sio kama unavyoona inafaa. ukiendelea na huo mtazamo wako ipo siku utasema "hata jinsia mtu anachagua anayoona inamfaa..."
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwako wewe mwanaume

    Safi kabisa, huo ni ujuzi pia.....
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwako wewe mwanaume

    Ujumbe kwako wewe mwanaume wa leo, mwanaume mramba lipsi, mwanaume mrembuaji, mwanaume unae amini eti mabadiliko ya sayansi na technologia yatakubadilishia maisha yako (sayansi na technologia scam tu kama scam nyingine) 👊 Hebu sikia!!!... Mwanaume wa kweli hapaswi kujilegeza, kuzubaa zubaa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nimeamini safari ya kuitafuta na kuishika ml 100 as cash ni ngumu mno. Najitaidi lakini yataka moyo!

    una mwaka wa ngapi sasa tangu uanze kufanya wakala wa kuitangaza UTT?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Messi aumia kwenye mchezo wa ligi wiki chache kuelekea Kombe la Dunia, Waargentina wajawa na hofu

    Hii nayo imekuwa habari? Afrika amka kutoka usingizini.......
  11. M

    JamiiForums Tanzania Muda mwingine weka Simu pembeni ufanye mambo mengine

    Ujumbe wako ni kweli kabisa, lakini Vijana wa hovyo watakuja kukubishia... mitandao ya kijamii hasa facebook, intagram, tiktok daah! Ina kamata sana akili za watu, hasa vijana
  12. M

    JamiiForums Tanzania CHUMA CHAKAVU: "Mishangazi" Mjini

    Umewapa vichwa vijana.... sasa wamepata rejea ya matendo yao....
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nimekubali nimefilisika, kwa sasa natuliza ubongo

    Daah! Pole sana... kakini mkopo unatolewalaga fungu la 10?, je unatoaje fungu la kumi sehemi ambayo haizalishi? (yaani haitoi faida?), maji ya upako ndo yanazuia nini? (Hizo biashara za watu) "Mungu sio mganga wa kienyeji". Pia, ninavyojua mimi sadaka ni sehemi ya ibada sio kitu cha kubadili...
Back
Top Bottom