watu hawasomi na kuwa serious kwenye masomo ya dini wanataka kuongeza alama, sio ukrisoto ama uislamu, kama vipi waambie Necta mtihani uwe kwa kiarabu!
Kiukweli wahamiaji haramu wa kitanzania wako kwenye nchi nyingi sana na hawapati matatizo iwapo hawatajiingiza katika biashara haramu. Hata Tanzania kuna Raia wengi mno wa kigeni nadhani kuliko nchi nyingine Afrika Mashariki kinachogomba hasa kwa wanaoingia kupitia Kagera na Kigoma ni wapiganaji...
Duh Kikwete ana kazi kubwa sana kuongoza taifa lenye watu mbumbumbu kiwango cha Crabat! nimegundua kuna watu walienda shule kusoma na wengine kuandika tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.