Recent content by Mzee wa Sumo

  1. M

    Lowassa ashindwa kujibu madai yake ya kwenda Vita vya Kagera

    Tatizo humu wengi ni watoto wakati vita vinapiganwa mlikuwa hamjazaliwa ndio maana mnapambana na upumbavu, tengeni vyama na jeshi!
  2. M

    Lowassa ashindwa kujibu madai yake ya kwenda Vita vya Kagera

    Makamba ndio alikuwa mwanakwaya, mhamasishaji wakati wanaume wanachapana!
  3. M

    Ndege hii ya nyalandu: kashfa nyingine mbaya

    Ndege Sio mama gari ukiendesha Collolla na Mercedes utaweza, muse wasomi kaulizieni TCAA mama mnawajua!
  4. M

    Siri zavuja Nyalandu na urais, rais na baraza la Mawaziri, Mwigulu Mwiba

    Sio kila mtg mwandishi huyo ni taaluma,
  5. M

    Hivi Wanawake wote mpo kama huyu?

    wANAWAKE NI WENGI WATOTO WACHACHE, MPIGE CHINI!
  6. M

    Makongoro Mahanga afikishwa Mahakamani kwa kutomlipa mshahara PS wake na kumtaka kimapenzi

    Tuachieni Mbunge wetu, kwani anawawakilisha nyie. Segerea ni yetu!!!
  7. M

    Kwanini Waislamu wanaofanya Mtihani wa EDK(Elimu ya Dini ya Kiislamu) Wanafeli sana?

    watu hawasomi na kuwa serious kwenye masomo ya dini wanataka kuongeza alama, sio ukrisoto ama uislamu, kama vipi waambie Necta mtihani uwe kwa kiarabu!
  8. M

    Ushahidi wa sms za m-pesa kutoka kwa kapuya kwenda kwa binti

    Nimegundua Profesa juma anajua kulea jamani, pesa hii ni nzito kwa binti mdogo ni kama mashahara!!
  9. M

    Siku Kenya na Uganda ikifukuza wahamiaji haramu, sijui Tanzania itawaweka wapi

    Kiukweli wahamiaji haramu wa kitanzania wako kwenye nchi nyingi sana na hawapati matatizo iwapo hawatajiingiza katika biashara haramu. Hata Tanzania kuna Raia wengi mno wa kigeni nadhani kuliko nchi nyingine Afrika Mashariki kinachogomba hasa kwa wanaoingia kupitia Kagera na Kigoma ni wapiganaji...
  10. M

    Serikali yatishia kuongeza adhabu kwa Magazeti Yaliyofungiwa

    Duh! Sasa hapo tunapokwenda ni kiboko!
  11. M

    ZITTO: Kufungiwa magazeti - wahafidhina sasa wanaongoza

    Duh Kikwete ana kazi kubwa sana kuongoza taifa lenye watu mbumbumbu kiwango cha Crabat! nimegundua kuna watu walienda shule kusoma na wengine kuandika tu!
  12. M

    UEFA Champions League, Special Thread

    Watabiri WA tz Shao naomi wamekata tamaa
  13. M

    Barua: Zitto akataa posho za vikao

    Kwani posho suala la kisiasa ama utawala bora?
Back
Top Bottom