Recent content by mzee wa magumashi

  1. mzee wa magumashi

    Yahaya Nawanda, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za ulawiti

    Hili jambo lipo kisiasa na hili nilimetengenezwa kisiasa ili kumuondoa simiyu maana alikuwa anatengeneza namna ya kumleta mkurugenzi Fulani agombee ubunge
  2. mzee wa magumashi

    Maisha ya kwaida 90% ya wafanyakazi wa serikali sio waaminfu kwenye pesa

    Ni kukosa hoja na kudhalilisha kada za watu wangapi Leo washakudhurumu ambao siyo watumishi wa umma ambao wanatumia nguvu nyingi kukuhudumia Leo Kama ulikosana naye nenda mkafanya muafaka na siyo suala la kuja kwenye mitandao na kupisiti post za kishamba yapo mengi Kujifunza humu na si kupost...
  3. mzee wa magumashi

    Wazo la kufungua Computer learning center

    Natafuta mfanyakazi wa stationary Vigezo Awe binti hajaolewa staki mwanaume Awe mwaminifu na mchapakazi loss na wizi statain. Awe tayari kukaa ofisin mpaka saa 3 usiku. Awe mcha MUNGU Mshahara wa kuanzia 80,000/= Kama uko tayari njoo whasp 0689880309 Staki usumbufu Kama huna sifa hata usihangaike
  4. mzee wa magumashi

    Biashara ya design na printing

    Natafuta mfanyakaz wa stationary. Vigezo Awe binti Hana mme,staki wanaume wahongaji mno. Yuko tayar kujifisha mwenye Awe anauzoefu na hizo kazi za stationary Awe anajua kusoma kingereza vizuri Awe mtu mstarabu mpenda dini Awe mchapakazi kwelikweli. Mshahara 80,000/= per month
  5. mzee wa magumashi

    Kuchukua mkopo benki na kujengea nyumba ni jambo jema lakini hasara yake ni kubwa

    Nyie pigeni kalele tutakutana uzeen maisha ni nyumba.kama uko single endelea kupanga lakin Kama upo double napita miaka 3 unakuja huku unatembea labda huwe hanisi. Nyumban ni furaha Nyumba Ni comfortable Nyumba Ni heshima ya ndoa Nyumba inaokoa gharama zisizo na lazima. Kijana wew fuata mkumbo...
  6. mzee wa magumashi

    Anadai ananipenda lakini anamuomba pesa mwanaume mwingine

    Kulia kwa mwanamke ni tatizo unafikiri??Kama ukiwa unakula mbususu analia ashindwe kulia hapo kwenye msamaha??
  7. mzee wa magumashi

    Anadai ananipenda lakini anamuomba pesa mwanaume mwingine

    Dogo usije Tena hapa jf kuomba msaada yamekuwa mengine wew komaa ka single Maza wako utakula ukimwi faster.mifano mingi imetolewa Kama mtu wa intellictual ushashika Kama kimeo.endelea kula mbonye na mzee
  8. mzee wa magumashi

    Anadai ananipenda lakini anamuomba pesa mwanaume mwingine

    Kuna siku itaingia msg ya leo style yako ilikuwa hatare.hafu sijui utajiua kifupi huyo huyo den tamaa mbele piga chini mapema ukaingia naye f2 ambako utapata shida utaachiwa mtoto kweupe mpo wa2 anawaka tamaa.na wew komaa siyo kulia hao wanawake ni wazur kukiwa na hela.
  9. mzee wa magumashi

    Jinsi ya kujisajili kutoa loss report za police nifanyaje!

    Kwema wakuu.mimi Ni mjasiliamali naona Kuna fulsa ya kutoa loss report za upotevu wa Mali za watu maana naona biashara yangu ipo located na kituo Cha police nitumie njia gani aliye na ABC anipe mchongo huo.
  10. mzee wa magumashi

    Shanga zinasaidia nini akivaa mwanamke?

    Salama wakuu. Naleta Uzi huu kwenu mnipe ushauri napata shida kufikiri Sana kwamba shanga zinaongeza mahaba kwa mwanamke kivipi? Au zimewekewa ashiki kuwa mwanaume akiziona dushe linatuna na mahaba kedekede siyo mzoefu na kifupi sijawahi kula mwanamke wa shanga. Na shinikizo linakuja kwa watu...
  11. mzee wa magumashi

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Master gar aina ya premio ya kuagiza kati ya old model na new ipi durable katika bod lak!
  12. mzee wa magumashi

    Hivi ni halali Simba kufurahia kipigo cha leo?

    Leta Uzi mwingine mkuu huu umepoteza maana wew umekula ukashiba unaleta Uzi unaolekea kwako chambua tactically si kubez upande wako
  13. mzee wa magumashi

    Namna makundi ya caf yatakapo kuwa DEC 28

    Draw ya makundi ya kombe la klabu bingwa barani Afrika (Caf Champions League) itafanyika Cairo Misri siku ya Ijumaa December 28 na klabu ya Simba itawakilishwa na mwenyekiti wa bodi Swed Kwabi. -Shirikisho hilo limepanga pot 4 kila pot ina timu 4 na kila pot itatoa timu moja kwenye kundi moja...
  14. mzee wa magumashi

    Daaah nimetapika sana na sitaweza kusahau kamwe

    Ulitafuta kansa Mkuu tuachen kuiga mambo hayo utafiti unatuelewe kwenye uke kuna aina 10 za kansa ikiwemo kansa ya koo.tuweni makin
  15. mzee wa magumashi

    Nabii Ellen White: Kubrashi viatu, kunyoa sharubu na kuoga siku ya sabato ni kujitafutia kupishana na Mbingu

    Non sense..popote utakapoandika lazima uwe reference sasa wewe maandiko yako hayana yajitetei popote ambapo hakuna ushahidi huwezi pata uzito Nina wasiwasi na uwezo wako kufikiri mambo ya Mungu yalifunfishwa kwa mifano.reference Mkuu itakubeba na si vinginevyo.kwa hiyo tusome mawazo yako tuyakubali.
Back
Top Bottom