Wadau naomba kujua yafuatayo kuhusu biashara ya printing.
1. Machine nzuri za design and printing.
2. Wapi naweza pata machine hizi.
3. Mtaji kiasi gani nawe nao kuanza biashara hii
4. Designer mzuri analipwa kiasi gani?
5. Faida, hasara na changamoto za hii biashara.
6. Wapi naweza pata madisgner waziri Kwa hii kazi.
7. Kwa kuanza ukiacha machines vitu gani vingine natakiwa kua navyo katika hii biashara.
Natanguliza shukrani kwa wote watakaonisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Machine nzuri za design and printing.
2. Wapi naweza pata machine hizi.
3. Mtaji kiasi gani nawe nao kuanza biashara hii
4. Designer mzuri analipwa kiasi gani?
5. Faida, hasara na changamoto za hii biashara.
6. Wapi naweza pata madisgner waziri Kwa hii kazi.
7. Kwa kuanza ukiacha machines vitu gani vingine natakiwa kua navyo katika hii biashara.
Natanguliza shukrani kwa wote watakaonisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app