Iko maeneo ya magole kitunda kama unaelekea mwanagati kutoka Kwa MPEMBA au kama unatoka mwanagati ukishavuka mto mzinga baada ya kijimlima upande wa kushoto,ilishawahi fungiwa na taasisi husika Ila Sasa inafanya kazi kimyakimya,haina bango Wala alama yyt kuashiria uwepo wake,wahusika wanaijua...
Nina mama yang mdogo ni mlokole enzi ya utoto (16yrs) niliwahi kumkuta kwenye mabanda ya uwani yupo na lijamaa linamgegeda,akaniwahi kunishtaki kwa mjomba kuwa nilikuwa namchungulia chooni aisee nilikula bakora za maana lakini sikusema ukweli kama nilimkuta anagegedwa Ili kumlindia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.