Taasisi nyingi za Ulaya na Amerika, ikiwa ni pamoja na UN, makao makuu ya kanda za ofisi zao ziko Nairobi au Addis Ababa. Na sio huku kwetu. Wanaevaluate na kuona huko ni salama zaidi kuliko huku. We Mbunge unatuvunga eti usalama wetu ni wa hali ya juu. Hata sisi hizo nchi tumeishi, asitufanye...
Kwanza maajenti wakubwa wa makampuni ya India yanayonunua haya mazao ni hawa wafanyabiashara wetu hapa Bongo kama kina Manji, Mo and the likes. Kitendo cha kuwa destabilize wao, kunawafanya kutopromiti effectively hayo mazao India kwa wateja wao. Kumbuka Marketing in the competitive world is a...
JOB OPPORTUNITY
Tanzania Sunflower Processors Association- An apex body of all Tanzania Regional Sunflower Oil Processors Associations, is looking for the Chief Executive Officer who will be mandated to manage and supervise day to day activities of the Association, which currently covers 23...
JOB OPPORTUNITY
Tanzania Sunflower Processors Association- An apex body of all Tanzania Regional Sunflower Oil Processors Associations, is looking for the Chief Executive Officer who will be mandated to manage and supervise day to day activities of the Association, which currently covers 23...
Duh!!!! Dizonga!!!! Hilo ni jina wabongo wa Sauzi wanapenda kuiita ile nchi. Mie nimeishi huko kwa muda mrefu na nimeoa huko, japo kwa sasa ninaishi bongo na huyo waifu na watoto niko nao hapa Bongo. Nakubaliana na wewe majina yapo, ila hawakubaliani nayo kwa sababu ya nani anayatoa. Wazulu...
Mie nimefungua kiwanda cha flavored soft drinks a.k.a juice hapa Miyuji Dodoma. Nafikiria pia kuanzisha uzalishaji wa juice ya zabibu kwa kutumia hayo matunda. Inanihitaji hela kidogo kuwekeza mitambo zaidi. Ila sijui hao wakulima wanalima aina gani ya zabibu na zinapatikana vipi. Inasikitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.