Recent content by Mzee Mchochezi

  1. Mzee Mchochezi

    Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

    Jamaa kakosea angetimua tu mama na mtoto wake akaanza upya Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Mzee Mchochezi

    Jiandae kisaikolojia TAMISEMI kumwaga majina ya Walimu na Afya Juni 24, 2022

    Sijui kwa nini sasa waliiweka ile kozi kwenye system kama walijua hawataajiri watu wa PGDE ,kweli ni mavi kabisa hawa tamisemi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mzee Mchochezi

    Nimekosa ajira za ualimu tena

    Inasemekana connection zilikua nyingi kila staff ana majina mfukoni hadi Ilibidi takukuru waingilie kati, nchi ngumu sana hii Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mzee Mchochezi

    TAMISEMI Waliweka nafasi hewa za ualimu

    Ajira za tamisemi za kishenzi sana ,bora kwenda kulima tu na si kutegemea hizi ajira , wamejazwa watu wa diploma na certificate Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mzee Mchochezi

    Kuna ulazima/umuhimu wa kufuatilia mienendo ya mke unaeishi nae mbali!?

    Salaaam kwenu wadau Kama mada inavyojieleza Uko na mke mmefunga ndoa na mna watoto Kutokana na sababu za kikazi ,inafikia hatua mnaishia mikoa tofauti, mke mkoa Z mume mkoa B. Mke yuko na watoto na mume Yeye anaishi mwenyewe. Siku za nyuma mawasiliano yanakua mazuri ,ila baada ya miaka kupita...
  6. Mzee Mchochezi

    Welcome to Mwanza Institute of Hotel and Tourism Management(REG.83603)

    Moderator Invisible naomba uedit title uondoe hiyo reg number kwenye mabano
  7. Mzee Mchochezi

    Mama mkwe kajichimbia naona shida kumtoa

    Kaa tumbo wazi na boxer tu subuleni huyo mama mkwe akichonga mkamate mtie mkuyati atatulia
  8. Mzee Mchochezi

    Shemeji kuwa karimu. Tabia yako usijetulaumu shemeji zako (marafiki wa mmeo)

    I can believe dat,manake nimeshangaa sana Mara ya kwanza kwenda kwa jamaa nimemkuta na mke wake Fulani alinikarimu vizuri sana tena sana halafu mwanamke ni mzuri mno na msomi sana na ana kazi yake, ila nimetembelea tena daa kituko,nisiongee mengi sana
  9. Mzee Mchochezi

    Shemeji kuwa karimu. Tabia yako usijetulaumu shemeji zako (marafiki wa mmeo)

    Hii lodge hawatoi breakfast na niliuliza ila hawatoi bei ni 20Tsh
  10. Mzee Mchochezi

    Shemeji kuwa karimu. Tabia yako usijetulaumu shemeji zako (marafiki wa mmeo)

    Mkuu mi kuomba omba siwezi nikiona sehemu haieleweki huwa nakaa kimya then naaga naenda sehemu napata ninachohitaji nikimaliza napanda gari narudi kwangu
  11. Mzee Mchochezi

    Shemeji kuwa karimu. Tabia yako usijetulaumu shemeji zako (marafiki wa mmeo)

    Salaam wananzengo, Jana nilisafiri kwenda kumtembelea rafiki fangu Fulani huko wilayani. Jamaa kaja stand kanipokea, tumekwenda kwao, ile nafika nakutana na mama mtoto wake, daaah! Jinsi alivyonikaribisha tu, nikajua hapa kuna tatizo na jinsi jamaa yangu alivyo nikashangaa kwa nini azalishe...
  12. Mzee Mchochezi

    Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

    Hakuendelei ulishawahi kutembelea ukaona hakuna maendeleo? Au unayatafsiri vipi maendeleo?
  13. Mzee Mchochezi

    Baada ya kumkatalia kukutana nae ili tu-Sex kaanza kunitukana na kuniambia ana Ngoma!!

    Daaaah wanawake wengine bhana Mwanzoni mwa mwezi huu nikiwa safarini mkoa flani nikakutana na binti kwenye gari tukakaa siti moja Ghafla tukazoeana sana hadi ikafikia hatua tukalala wote kule mwisho wa safari manake tulifika usiku sana Usiku tukagegedana,asubuhi tukatawanyika Mawasiliano...
  14. Mzee Mchochezi

    Amber Rutty na Bwanake wamshushia kipigo jamaa wanaedai anawachafua mtandaoni

    Instagram ,hapa nimeshindwa kuupload Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom