Nakumbaliana na Komeo kuwa hakualikwa Mnyika nitakuwa na mashaka na star tv maana niliona jumatatu Mnyika akimwomba mtangazaji kuwa itatokea Ndugai kualikwa na yeye alikwe na mtangaza yule alikubali kwahiyo tunasubi.
Tathimini iliyofanywa na Mohamed Mtoi inaonyesha ukweli wa ccm ilivyoporomoka ingawa watapinga lakini huo ndiyo uhalisia wenyewe na hadaa na nguvu nyingi iliyotumika naipongeza Chadema . Na hata Arusha kwa mbinu zinazofanyika hata siku moja ccm wasitegemee kushinda labda nguvu na hadaa zitumike...
Diwani mbumbu asiyefahamu mipaka ya uwakilishi wa wananchi waliomchagua bado anajiona ni shabiki wa chama chake . Wape wengi bado ktk nchi yetu inatakiwa elimu zaidi ya uraia.
Mkurugenzi huyo ni mtu imara sana ktk kusimamia masuala ya fedha maamuzi mbalimbali yaliyoamuliwa yanayohitaji utekelezaji masuala ya nidhamu kazini .Nimfahamu akiwa same baada ya kuondoka same leo ukifika ofisi za halimashauri hiyo hakuna nidhamu tena.Tungekuwa na wakurugenzi wengi kama huyo...
Askari ikuwa wajibu wake awaeleze kwanini anawachelewesha na hiyo ndiyo inayotakiwa kujenga mahusiano mazuri na jamii. Askari anayeongea kwa kificho na kondakita ni wale watafuta rushwa .ambao wanachafua hazi ya jeshi la polisi.
Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ni mkuu wa mkoa au wilaya na wajumbe wake ni viongozi wa majeshi yetu walitajwa ktk katiba ya nchi . Hawa wakuu wa mikoa na wilaya ndiyo wakilishi wa Raisi. Ktk kamati hakuna uwakilishi wa upinzani. Muundo wa kamati hizi una mapungufu mengi sana ya kisheria...
Kwa vikwazo ktk eneo la hifanya ya madini hayo hakuna wizi uliofanyika isipokuwa kuna udanganyifu kukwepa kulipa kodi na kulipwa insurance. Polisi wawe makini na ungalifu ktk upelelezi wao .
Hakuna wizi unaweza kutokea hapo kwa ulinzi uliopo wenye vikwazo vingi . Isipokuwa kuna udanganyifu unataka kufanyika kukwepa kodi na masuala kulipwa insurance na mengineyo.Polisi wafanye uchunguzi wa kina watagundua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.