Tanzaniteone waibiwa madini ya mabilioni ya fedha

Kama ni watanzania wameiba basi nawapongeza sana, kwakuwa sijaona nchi ikifaidika zaidi ya wageni na vibaraka wachache, naomba mungu wasikamatwe, ili nao waonje kile mungu alichotujalia.

Watanzania watakuwa wamefaidi utamu wa rasilimali zao, wakimaliza hapo waende Geita na nyamongo wakafaidi matunda yao pia, Mungu ibariki Tanzania
 
Watafutwe na wakikamatwa wanyongwe hao wezi wa hayo madini wameikosesha serikali hela nyingi sana nymbaff
 
na siku mkiibiw kwenu na mje muanzishe uzi na mseme kuwa mnawapongeza wezi kwa kuja kuchukua chao kwani walichoiba yatawasaidia wao na familia zao
 
Unaweza kuta wanajiandaa na % hamsi kwa hamsi, hayo mazingira ya huo wizi yachunguzwe vizuri.
 
Kwa hapo tulipofika, ujambazi wa namna hiyo ndio unaohitajika Tanzania kuliko ule wa kuteka mabasi na kujeruhi abilia wasiokuwa na hatia!!
 
Huyo dogo alieingia ubia kwa niaba ya familia ndo kajichotea mgawo wake,
natumaini hatahangaika tena na mizigo ya kupeleka china pesa ipo hapa hapa home.
 
.Huu utakuwa uwizi mkubwa na kwanza wa madini hapa nchini na tukio litaaingia katika historia
Asante kwa kutuhabarisha mkuu lakini naomba nitofautiane na wewe hapo juu kwa kuwa wizi mkubwa wa madini unafanyika kila siku kwenye mikataba yote ya kijinga tuliyoingia na hawa wazungu, hicho walichokomba hao jamaa ni kiasi kidogo sana ukilinganisha na kile wanachotuibia jamaa kila siku. I believe this is the way forward kwa wazawa walalahoi, tubuni vyanzo zaidi vya kuonja keki ya taifa..
 
Tuna hasara na membe kama huyu nimekoma

Heko sana kwa wale waliofanikisha zoezi hilo!


Watafutwe na wakikamatwa wanyongwe hao wezi wa hayo madini wameikosesha serikali hela nyingi sana nymbaff

Ningejua walipo ningeenda kuwapatia pongezi ya kipekee kwa kazi nzuri waliofanya!
 
Last edited by a moderator:
Wacha Beretta zije town,

Wacha apollo asukume ZX, LX, VX

Million Kadhaa afanyie kipaimara.

Miezi ndio hii. Pora hao wanyonyaji, pora mpaka boxer zao. Kama ni mswahili kapiga hii deal namtakia heri na fanaka.


Leo wanalia wameporwa madini, wanasahau walichofanya pale Maji Ya Chai early 2000s.
 
na siku mkiibiw kwenu na mje muanzishe uzi na mseme kuwa mnawapongeza wezi kwa kuja kuchukua chao kwani walichoiba yatawasaidia wao na familia zao

Siku ipi tena wakati kila siku tunaibiwa direct&indirect? Huyo kibwengo mwenzako anadai eti serikali imekoseshwa mapato!!kwa taarifa yenu serikali hii ya mamburula haijui hata kiasi halisi cha madini yanayochimbwa,ni fadhila tu ya hao makaburu kwa kushirikiana na baadhi ya wezi wetu wa ndani ndiyo hupanga kiasi cha mrahaba wa kuipa serikali,USHAURI» Tafadhali toa ushirikiano kwa mashujaa hao waliojitolea uhai wao ili kuikomboa rasilimali yetu,ikiwa utabahatika kukutana nao tafadhali wape msaada watakaohitaji.
 
Hakuna cha wizi hapo, hiyo ni janja ya kutaka msamaha wa kodi tu. Kuiba madini si mchezo
 
Kwa vikwazo ktk eneo la hifanya ya madini hayo hakuna wizi uliofanyika isipokuwa kuna udanganyifu kukwepa kulipa kodi na kulipwa insurance. Polisi wawe makini na ungalifu ktk upelelezi wao .
 
Mh.. Hapa ninapata sana shaka kama ni kweli umetokea wizi huo uliotangazwa kutokea.. Niko na mashaka kama hili silo deal la kupanga ili kwanza kuwepo na ukwepaji wa kodi halali (kama zinalipwa kweli) na pili kulipwa insurance kwa a "supposed" wizi huo uliotokea.. Trust me guys makaburu wamefunzwa na wabongo wizi na wamekubuhu.. Wanajua fitina in & out..
 
Back
Top Bottom