Job Ndugai live Star TV Jumapili

Job Ndugai live Star TV Jumapili

Dada yangu una Stress nini?Naona kama uliandika comment ukiwa bado una hasira hivi sijui Mumeo kakufanya nini tena?Ungelala kwanza akili itulie!

Elimu yako ya colonial education was too theoretical au hukwenda kabisa shule sababu ya kuogopa wazungu
 
umenikumbusha kuna siku walikutana kwenye kipima joto ITV alibanwa ikafika sehemu akawa ni zamu yake ya kuongea aliomba arukwe kwanza,na yule mzee nasako alivyo balaa alimuambia ni zamu yako ongea! Ndugai alitia huruma kweli

na hata kabla ya kipindi alitaka kumpiga Lissu, eti kagawa namba ya simu. Lissu akamwambia nenda mahakamani
 
Uliamka na hangover nini bibie?Kapate supu ya utumbo wa kuku kwanza akili ikae sawa.Naona unajaza mashudu tu humu!!!??
 
Elimu yako ya colonial education was too theoretical au hukwenda kabisa shule sababu ya kuogopa wazungu

Uliamka na hangover nini bibie?Kapate supu ya utumbo wa kuku kwanza akili ikae sawa.Naona unajaza mashudu tu humu!!!??
 
mwenye namba ya Yahya Mohamed wa star tv atuitie hapo kamanda lisu au Mnyika hiyo jpili
 
Last edited by a moderator:
Ni jambo jema.
Nadhani atakua kaomba asiitiwe mnyika kabisa, moja ya masharti ya kukubali kuhudhuria kipindi.
Star tv waweke mbali vitu vya kupasuka, maana ndugai ana jazba ya kumng'ata mtu
 
Teh teh teh, naona afisa mifugo atakuwa hewani jumapili, sijui atakutanishwa na wanasheria ama! Ndugai ni janga!
 
Nakumbaliana na Komeo kuwa hakualikwa Mnyika nitakuwa na mashaka na star tv maana niliona jumatatu Mnyika akimwomba mtangazaji kuwa itatokea Ndugai kualikwa na yeye alikwe na mtangaza yule alikubali kwahiyo tunasubi.
 
Star TV wanafanya kazi ya CCM siku hizi. hakutakuwa na mtu wa kumbana kwa maswali, itakuwa ni platform ya Ndugai kujisafisha, believe me.
 
Naomba mwandishi atakaeongoza kipindi hicho akamuulize JOB NDUGAE swali hili "Mh kuna mbunge wa CUF alipata kimemo akitishiwa kua atashugulikiwa pindi akiunga hoja ya LISSU, je ni nani aliyetuma ile memo? na hatua gani bunge lako lilichukua dhidi ya maneno hayo? na kama bado unawaambia wananchi nini kuhusu swala hilo?"
 
Asije kujisahau akawatoa nje washiriki wenzie kwa sababu ya kubanwa na hoja! mazoea hubadilika na kuwa tabia!!!
 
Kwangu mimi siwezi kumsukiliza kwani ana hasira ya kijnga,hawezi kujenga hoja na hana busara!

Wala huna haja ya kumsikiliza. Mi muda huo nitakuwa naangalia pambano la masumbwi 'live' baina ya Mayweather na Suarez
 
Wana Jf kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku jana, mtangazaji wa star tv alisema Jumapili tarehe 15.09.2013 kwenye kipindi cha tuongee asubuhi watakuwa na naibu spika Job Ndugai.

Hakusema majina yawashiriki wengine watakaokuwepo kwenye kipindi hicho, walahakusema mada itakayozungumziwa.
Nina hakika suala la mswada wa sheria ambao ulileta sintofahamu bungeni hataweza kuuepuka kuuzungumzia.

Nimeona niwape taarifa hii maana kuna wakati wa kupiga simu na kuuliza maswali.

Nawashukuru sana.

Itakuwa safi sana ziwepo pande mbili,yaani Ndugai na lisu au mnyika.Star tv wakimuweka ndugai peke yake watakua na lengo la kuhujumu KATIBA yetu pia.
 
Back
Top Bottom