Recent content by mzawa5

  1. M

    Msaada: Nifanyeje chooni kwangu kuna nyoka

    Duh,,,na vile sisi wanaume tukitumia vyoo vya kukaa mfumo wote wa uzazi tunauzamisha kwenye shimo aka tunauninginiza shimoni😀kazi tunayo
  2. M

    Vyeti vya kuzaliwa sasa kutolewa papo kwa papo

    Itapendeza sana maana Kupata vyeti vya kuzaliwa hasa mikoani mara nyingi ni changamoto kubwa sana, hasa Mkoa wa Kilimanjaro, inachukuwa mpaka miezi 6 na zaidi, sasa watu hawajui hapo ni mazingira gani yanatengenezwa hapo.
  3. M

    African Satellite World and Sat Gear

    hi, With my 8ft dish, am i be able to receive 52e in Arusha Tanzania?
  4. M

    Zitto: Tuliambiwa hostel za UDSM zimejengwa kwa bil 10 ila ripoti ya CAG inasema zimejengwa kwa bil 54. Uwongo! Uwongo!

    Ati baada ya kukosa kale kanafasi ka kuteuliwa sasa anamrushia mkulu makombora ya hataree. Siasa bwana,Mengi alisema ni mchezo mchafu.
  5. M

    Hivi kuna starehe inayozidi ngono(sex) hapa duniani?

    Kubanwa na uharo afu ukaona choo au kichaka.loh waweza acha gari mlango wazi ikiwa na funguo..
  6. M

    Majanga: Tanzania yaburuzwa Mahakama ya Usuluhishi kwa kuvunja Mkataba wa Mradi uliokuwa ufanyike Bagamoyo

    Majanga gani wewe...mambo si kama yalivyo kiushabiki.
  7. M

    African Satellite World and Sat Gear

    hi Boss, You still have it??
  8. M

    CCM Wakimpitisha mtu mwenye tuhuma za Rushwa utakua mwisho wangu kuingia humu JF!

    Hakuna mtu ambaye ni msafi wote wachafu. Ni vile hawajakamatwa kwenye uchafu wao.nawashangaa wanaombeza lowassa kila mtu anaaiba jamani fungueni mimacho yenu. Tunamtaka kongozi ambaye tunaamini atapiga kazi
  9. M

    Mshahara Akiba Commercial Bank

    Vingereza vya nini hapo
  10. M

    Gharama mpya za visimbuzi/ving'amuzi na vifurushi Azam pay TV

    Hiyo ilikuwa bei ya promo bado ngojeni itafika Laki moja. Chezea watz ww. Continental wanasema hakuna monthly fees lakini SASA wana waambia wateja wao wakajiandikishe iliwapate kadi sasa kinachofuata hapo ni nini . Hata digitek ni wasanii tu hawana lolote
  11. M

    South Africa - No Visa required for TANZANIANS for 90 days travel

    Mbona mnashangaa kwani SA kuna ishu gani. Ushamba mwingine bhana
Back
Top Bottom