Recent content by MZAWA JF

  1. M

    Doctor Isaac Maro ni nani?

    Siyo rahisi mtu mwenye CV hiyo kujiita 'poor brain'
  2. M

    Sakata la mchele mbovu kutoka Tanzania, Rwanda

    Nakumbuka tuliwahi kupeleka korosho Vietnam zenye kokoto 🤣🤣🤣
  3. M

    Bi Yosefa Komba wa CHADEMA jimbo la Muheza azungumza na Wananchi katika mkutano

    Huyu bint bado yupo? Long time sana, anajua kujenga hoja balaa
  4. M

    Serikali kuleta ndege mpya nchini Machi 26, 2024

    Bajaji tu hamuwezi kutengeneza, mnawaza ndege?
  5. M

    Asafirisha wahamiaji 20 kwa V8 yenye bendera ya CCM

    Kakosea, hapo jumla haizidi dola elfu 5 japo nazo ni nyingi tu
  6. M

    Nafasi ya kazi ya kuuza liquor store

    Kwani ni mwanaume? Mbona anajiita baby?
  7. M

    Kimeumana: Wazee wa Simba SC hawamtaki Mwina Kaduguda

    Huyu ni pimbi tu, aliwahi kununua chapati za wachezaji kule Zanzibar za tsh 36k akaja kuzidai kwenye kikao akarudishiwa pesa na team. Mtu wa ivi hata akiniambia 2+2=4 sitamuamini
  8. M

    Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu aagiza wanaomiliki fisi wawachunge wasidhuru watu

    Naona ngoshaz mnapeana connections za maeneo yenye mafisi😂😂😂😂😂
  9. M

    Utata kuhusu Hadithi ya gharika la NUHU na SAFINA

    Ivi na wale sokwe wa kigoma walikuwepo?
  10. M

    Naomba Ushauri katika ufugaji wa nguruwe

    Mkuu hujajibu swali
  11. M

    Naomba Ushauri katika ufugaji wa nguruwe

    Mwenyekiti wa mkoa au taifa?
  12. M

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbweni-Dar

    Mvua zimeisha?
Back
Top Bottom