Wapo pia watalii wengi raia wa Italia wanaokwenda Zanzibar na Italia saa hizi ndio ya pili baada ya China kwa maambukizi. Intelligence hapa ifanye kazi ya ziada.
Wakati mwingine hizi picha zinakera. Sema tu wanaotoka vijijini kwenye basi ndo wanapata fursa ya kuona screen na utawajua tu pale wanapoongea na konda, "tunaomba utuwekee kideo". Ikiwekwa ya mzee Majuto vibogoyo utawagundua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.