TAIFA LEO KENYA: Magufuli Bado Mteja

TAIFA LEO KENYA: Magufuli Bado Mteja

Nadhani tunaelewa vibaya hicho kichwa; hatujaisoma article yenyewe but by definition kwao wao mtu asiyepatikana au kuonekana kwa muda fulani wao ndio wanasema MTEJA, bado sijaona hilo tatizo kabisa kama tafsiri yao ndio iko hivyo.
It is their silent language mfano wa sisi tunasema mdenimark yaani anaye kudai am a Juma kilaza ikamaanisha Chakula kilicho lala
 
Habari ya Magufuli Kuwa Mteja inapata headline Kuliko wakenya milioni 1.4 Walio katika hatari ya Kufa Njaa. Kweli Kenya is a failed State
 
Nyie kwenu mnakufa kwa njaa? Acheni uvivu kila siku upo unapiga porojo hapa jf kumbe kwenye ukoo wenu mnakufa njaa?
Kuna Watanzania wengi wanakufa kutokana na maradhi yanayosababishwa na lishe duni
 
Naona kumbe kuna viongozi walioridhia magazeti haya ya kenya kuendelea kuandika habari hizi, vinginevyo yangefungiwa. Tuseme itokee kwa Rais Kenyatta kama ilivyotokea hapa kwetu, halafu magazeti ya hapa yachachamae kumuandika Rais Kenyatta, na JPM yupo amekaa kimya! Haiwezekani. Kuna kitu cha ziada hapa, JPM yuko sahihi kwenye maneno yake ya siku zote
 
Kenya wivu unawasumbua, wanamtamani sana magufuli sema hawana jinsi
JPM anavyopambana na kufanya mambo makubwa, wakati huo huo anakuwa pia anachochea sana upepo wa kisiasa Kenya bila yeye mwenyewe kujua. Hii hatimaye inapelekea wanacnchi wa Kenya kuanza kuwalinganisha viongozi wao na JPM, na pia kuwawekea target kubwa viongozi hao bila kujali mazingira ya kisiasa nchini kwao. Kwa mfano, wao huko wanapambana pia na Al-shabab, wakati sisi hiyo hatuna na Mungu andelee kupishia mbali itokomee kuzimu milele. Sasa haya yote wanachi hawayaangalii, wanachoangalia ni viongozi Kenya wafanye sawa na JPM, kitu ambacho siyo rahisi sana. Mazingira yetu ya kisiasa yanatofautiana sana
 
Back
Top Bottom