Kutokana na hali inayokwenda kwa sasa kuhusu huu uchaguzi Bunge letu limetekwa na ccm na wataligeuza kuwa ni vikaoo vya chama.
Nna uhakika hakuna kuwa na hata Mbunge wa upinzani hata mmoja bunge. Nchi imelazimishwa kurudishwa kwenye utawala wa chama kimoja.
Kila mtu anajua uchaguzi ulikuwa na...
Huku Tanganyika kesi zao hazikuisha, bado wanakiporo. Kumbuka Mr. D Uchwara alisema waliamua kuwapeleka kwanza wakatumikie kifungo huko, wakirudi baada ya kifungo waje wamalize kesi zao za madawa. Ngoma bado mbichi wala usifurahi. Wanasubiriwa hapa kwa hamu kubwa sana
CCM is a crime syndicate,Most members & MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.Vote CCM at your own risk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.