technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Ni leo kwenye ziara yake kule Mbeya
========
Namnukuu
“Natamani siku moja niwe Waziri wa Michezo halafu niwaonyeshe mimi ni nani kwanza kikosi ntakipanga mimi mwenyewe halafu tuone kama tutafungwa fungwa tena”
Mwisho wa kunukuu
========
Je, Rais anayetamani kuwa kwenye kila kitu ni Rais wa namna gani?
========
Namnukuu
“Natamani siku moja niwe Waziri wa Michezo halafu niwaonyeshe mimi ni nani kwanza kikosi ntakipanga mimi mwenyewe halafu tuone kama tutafungwa fungwa tena”
Mwisho wa kunukuu
========
Je, Rais anayetamani kuwa kwenye kila kitu ni Rais wa namna gani?