Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,014
kuwa mtu wa kupima maneno.mbali na cheo umri pia umekupa mkono.
uliyoyaongea jana kule unguja yanaonesha ulivyomchanga kwenye historia ya siasa za nchi ile. yani unaenda kumtisha maalimu kumuweka ndani? hujui kwamba zanzibar siasa ni zaidi ya imani huku bara? ati utaanza na mwenye sharubu? hivi nawe akikujibu kwa kutukana utaenda kwa msajili .
ulisema kuna watu wameanza kufanya siasa wakimsumbua rais wa zanzibar? hivi yule bashiru kule chemba alienda kama nani na kufanya nini? kule mbeya wameandamana mbona hujasema?
kwa taarifa tu ni kwamba maalim ameporwa ushindi kwa vipindi vitano mfululizo tena kweupe. ivi ungekuwa wewe na kiswahili chako kibovu si ungeua watu wewe?
visiwani kuna moto msiutie mafuta. unaweza kuwambia wazanzibar 2015 kwann uchaguzi ulifutwa na jecha? au unadhan wamesahau?
mmefuta/piga marufiku shughuli za kisiasa kwa USHAMBA WENU hamjafuta kisheria unapowambia watu wasifanye siasa uwe basi unafanya hata marejeo ya sheria ni sheria gani hiyo?
unapomuagiza commissioner wakati kuna IGP Inamanisha nn?
unaposema utaanza kumpiga mwenye sharubu unataka wapemba wajisikieje?
unaposema kuna watu wanamzuia sheini kufanya kazi mbona speaker ndugai alikuwa unguja kukagua sijui nn za ccm? au yeye sio mwanasiasa?
Pamoja na kasoro nyingi za kihaiba ulonazo wewe na aliyekuweka hapo lakini jirekebishe.acha kuendelea kuwagawa watu.mlipofika panatosha!
uliyoyaongea jana kule unguja yanaonesha ulivyomchanga kwenye historia ya siasa za nchi ile. yani unaenda kumtisha maalimu kumuweka ndani? hujui kwamba zanzibar siasa ni zaidi ya imani huku bara? ati utaanza na mwenye sharubu? hivi nawe akikujibu kwa kutukana utaenda kwa msajili .
ulisema kuna watu wameanza kufanya siasa wakimsumbua rais wa zanzibar? hivi yule bashiru kule chemba alienda kama nani na kufanya nini? kule mbeya wameandamana mbona hujasema?
kwa taarifa tu ni kwamba maalim ameporwa ushindi kwa vipindi vitano mfululizo tena kweupe. ivi ungekuwa wewe na kiswahili chako kibovu si ungeua watu wewe?
visiwani kuna moto msiutie mafuta. unaweza kuwambia wazanzibar 2015 kwann uchaguzi ulifutwa na jecha? au unadhan wamesahau?
mmefuta/piga marufiku shughuli za kisiasa kwa USHAMBA WENU hamjafuta kisheria unapowambia watu wasifanye siasa uwe basi unafanya hata marejeo ya sheria ni sheria gani hiyo?
unapomuagiza commissioner wakati kuna IGP Inamanisha nn?
unaposema utaanza kumpiga mwenye sharubu unataka wapemba wajisikieje?
unaposema kuna watu wanamzuia sheini kufanya kazi mbona speaker ndugai alikuwa unguja kukagua sijui nn za ccm? au yeye sio mwanasiasa?
Pamoja na kasoro nyingi za kihaiba ulonazo wewe na aliyekuweka hapo lakini jirekebishe.acha kuendelea kuwagawa watu.mlipofika panatosha!