Nchi zile kuna tofauti kati ya vyama na serikali, huku Serikali ndio chama na chama ndio serikali. Kila aliye chamani ndiye ana sauti kuliko aliye serikalini ,unless awe mwanchama wa chama hicho chenye serikali.
Tunahitaji katiba itakayokuwa imejitosheleza, bila hivyo tutabaki kupangiwa na kuamuliwa kila kitu na mwenyekiti wa ccm taifa.
Tunahitaji katiba itakayokuwa imejitosheleza, bila hivyo tutabaki kupangiwa na kuamuliwa kila kitu na mwenyekiti wa ccm taifa.