Hoja yako nmeikubali, kwa namna umesanifu ila bado haina majibu ya uhalisia kuhusu Mungu ila inaweza kukupanua uelewa zaidi kuhusu hicho kinaitwa Mungu.
Hiii script ya Mungu inaonekana kabisa Ni ya kutunga kwasababu in maudhui ya kizamani ambayo ina utawala wa kifalme( kingdom rein) .ndo maana wakati umekaribia wa kuachana na ngano hii. Kwasababu makosa yamekuwa mengi ktk kuitetea.
Hata wateteaji watafika mwisho. Labda waunde mpya yenye usasa...
Muda upo kwa sababu upo(akili ya kuujua). Mabadiliko ya kiumbo hayawezi kutuambia ndo muda ila uanaweza kutuambia uasili wa kitu kubadilika form. Kwa ufupi mda si halisia .
Ili ni janga la dunia,arafu maisha Sasa hapa Tanzania watu wengi wanalia kinafiki nmeona kwenye sikukuu hi ya idi watu wamekula wamekunywa. Vivyo hivyo ilivyokuwa pasaka .pia hapa tz Kuna migaawa ya gharama watu hawajawahi kukoma kwenda kula pale na ndo aho aho wanapiga kelele hapa jukwaani sisi...
Wewe hayoo ukiyataka watafute mbona wengi wanadanga club casino ila hapa tumshauri namna gani ya kuepuka hizo hisia mm naona hospital hawana dawa ya kutibu hii kitu Kiko beyond biological ila biological ndo in respond izo response .
TIBA NI MOJA TUU NAYO INAFANYA NA WATU SPECIAL WA SPIRITUAL...
Nmesoma komenti za wengi inaonekana! Hi kitu ushoga hawakielewi hata hawataki kusikia kwa mashoga wenyewe wanaeleza kwa kuhisi kwao ama kwa kulingana na vitabu vya dini zao.
Mm naona jamaa kajieleza vzuri shida Ni sisi kutomuelewa .
Kuna siku mm nilizoea kunyoa saluni fulani kubwa pale tabata...
Mm nmeona Putin kama mbinafsi Sana kushambulia watu na kuwaua akisema eti operation maalumu ya kijeshi ya kuwaokoa wanyonge wanaoteswa na serikali ya Ukraine.
HATA kama akili hauna huwezi kuona hapa Kuna kitu ambacho Ni against humanity.
Kuna mchangiaj hapa ana tumia udini kuelezea hi Vita ata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.