Recent content by myenzialex

  1. M

    Msaada: Pikipiki za kuchaji

    Na Mimi naomba nijue Bei yako
  2. M

    Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Yanayotokea Tanzania ni maigizo ya marehemu kanumba
  3. M

    Kama uliolewa na hukuwa bikra usiwe na wivu

    Hujaelewa nini wengine kiswahili sio mdomo wao
  4. M

    Yaliyojiri Kuapishwa kwa Donald Trump, rais wa 45 wa Marekani

    Magu hata kiluga hajui trump hata hamjui sijui kama hata barozi wetu alialikwa
  5. M

    Wanawake wa Mbeya msimsogelee wala kumpigia kura Sugu

    Yaani huyu aliyeandika anaonekana ana matatizo ya akili
  6. M

    Ali Kiba na Jackline Mengi wateuliwa kuwa mabalozi wa tembo

    Hivi daimond kawakosea makosa gani mpaka wakampa asiyejua kucheza ushereheshaji bora Eti Ali kiba ndiye mshereheshaji bora? Hivi bella makosa yake ni yapi nani kama mama ukiimbwa mpaka akina mama wanalia kweli wimbo uliopendwa ni mwana Dar es salaam! Mimi nashauri daimond na bella wajitoe kill...
  7. M

    New Song: KCEE ft Diamond Platnumz - Love boat

    Poleni sana tm vichocholo diamond ni nouma
  8. M

    ACT - Wazalendo Mbozi, yazidi kutoboa

    Hela ya card mia nane mmeitoa wapi na waume zenu wako bize na kutangaza nia
  9. M

    John Magale Shibuda: Kilio cha samaki

    Ukawa ni mkombozi wa kweli na ndiye mwenye jehanumu ya kuunguza ufisadi wa Yeyote aliyekula vya watanzania Juliana una Jina la mama yangu lakini unaandika post za kipumbavu wewe ushapewa taraka kauze kimboka dizaini yako cdm haina mteja
  10. M

    African Achievers Awards - Letter to Diamond Platinumz

    Kitu kizuri ni kizuri tu kenya kiingilio cha daimond ni kufuru sisi wakenya tunapenda Kitu kizuri daimond hata akiweka kiingilio laki moja ya Kenya ukumbi itajaa
  11. M

    Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

    Poleni sana dunia kwasasa inajua Hakuna kama diamond Davido aliposikia kaandika vitu vyake anasema ni Sawa kwani daimond ni msanii wa kimataifa aziache hizo tuzo za wasiojiweza
  12. M

    Nimeoa nina miaka mitatu, mama yangu na dada wanadai mtoto niliyezaa hafanani na mimi

    Kitanda hakizai haramu dna siku hizi hawasemi ukweli kuogopa usije ukafanya mtoto apate shida
Back
Top Bottom