Hivi daimond kawakosea makosa gani mpaka wakampa asiyejua kucheza ushereheshaji bora Eti Ali kiba ndiye mshereheshaji bora?
Hivi bella makosa yake ni yapi nani kama mama ukiimbwa mpaka akina mama wanalia kweli wimbo uliopendwa ni mwana Dar es salaam! Mimi nashauri daimond na bella wajitoe kill...
Ukawa ni mkombozi wa kweli na ndiye mwenye jehanumu ya kuunguza ufisadi wa Yeyote aliyekula vya watanzania Juliana una Jina la mama yangu lakini unaandika post za kipumbavu wewe ushapewa taraka kauze kimboka dizaini yako cdm haina mteja
Kitu kizuri ni kizuri tu kenya kiingilio cha daimond ni kufuru sisi wakenya tunapenda Kitu kizuri daimond hata akiweka kiingilio laki moja ya Kenya ukumbi itajaa
Poleni sana dunia kwasasa inajua Hakuna kama diamond Davido aliposikia kaandika vitu vyake anasema ni Sawa kwani daimond ni msanii wa kimataifa aziache hizo tuzo za wasiojiweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.