Recent content by myama sana

  1. M

    Mtumba shop

    Habari, nilikua na wazo la kufungua duka la nguo za mtumba za kupoint sasa naomba mwongozo wa jinsi ya kidizaini chumba kiwe na muonekano mweny picha ya muonekano wa chumba
  2. M

    Ukiagiza mzigo kwa Alibaba unaletewa mpaka mkoani?

    Habari wakuu, Mimi nataka niagize mzigo Alibaba je unaweza kufika mpaka mkoani au nafanyaj alie wahi fanya biashara na alibaba au app yoyote anipe ujuzi please
  3. M

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Habar naomba connection ya ballo za mitumba kwa bei ya jumla
  4. M

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    14:4 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Naomba ufafanuzi kuhusu hili tukio la Mbwa kulia sana usiku

    mbwa anaogopa gza Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Mpangaj mpyaaa

    Nipokeeni Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Mwanaume fanya haya

    1. Hauwezi kumpenda mtu ambae yeye mwenyewe hajipendi. 2. Mtafute MUNGU kisha tafuta mwanamke bora. Ukiwa na hayo mambo mawili, suala la hali ngumu ya uchumi binafsi (financial freedom) litaji-solve lenyewe. 3. Mwanaume bora hapimwi kwa idadi ya wanawake aliolala nae kwa sababu 'sex' ni jambo...
  8. M

    Jifunze kumuacha aende

    JIFUNZE KUMUACHA AENDE • Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha. MUACHE AENDE ! • Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...
  9. M

    MJADALA: Je, kuna madhara yoyote ya kufanya mapenzi wakati wa hedhi?

    MADHARA YA KUFANYA TENDO LA NDOA WAKATI WA HEDHI. Kufanya mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana (hedhi) ni hatari sana. Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili. Hivyo kwa ushauri huwa tunapenda watu wajali sana afya...
  10. M

    Naomba msaada wa namna ya kuweka akiba

    Me kote huko sipo ila ninashidwa kuitunza ela nikiweka nkijarib kuweka akiba nikipiga hesab niona ni kias kdg natumia tu
  11. M

    Naomba msaada wa namna ya kuweka akiba

    Wana Jf habari, Ninaomba ufafanuzi jinsi ya kuweka akiba maana mimi sijui jinsi ya kuweka akiba. Asante
Back
Top Bottom