Habari, nilikua na wazo la kufungua duka la nguo za mtumba za kupoint sasa naomba mwongozo wa jinsi ya kidizaini chumba kiwe na muonekano mweny picha ya muonekano wa chumba
Habari wakuu,
Mimi nataka niagize mzigo Alibaba je unaweza kufika mpaka mkoani au nafanyaj alie wahi fanya biashara na alibaba au app yoyote anipe ujuzi please
1. Hauwezi kumpenda mtu ambae yeye mwenyewe hajipendi.
2. Mtafute MUNGU kisha tafuta mwanamke bora. Ukiwa na hayo mambo mawili, suala la hali ngumu ya uchumi binafsi (financial freedom) litaji-solve lenyewe.
3. Mwanaume bora hapimwi kwa idadi ya wanawake aliolala nae kwa sababu 'sex' ni jambo...
JIFUNZE KUMUACHA AENDE
• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.
MUACHE AENDE !
• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...
MADHARA YA KUFANYA TENDO LA NDOA WAKATI WA HEDHI.
Kufanya mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana (hedhi) ni hatari sana.
Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.
Hivyo kwa ushauri huwa tunapenda watu wajali sana afya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.