myama sana
Member
- Jul 15, 2019
- 17
- 12
Wana Jf habari,
Ninaomba ufafanuzi jinsi ya kuweka akiba maana mimi sijui jinsi ya kuweka akiba. Asante
Ninaomba ufafanuzi jinsi ya kuweka akiba maana mimi sijui jinsi ya kuweka akiba. Asante
sema kipato chako kwa siku wiki au mwezi na matumizi yako ili usaidiweWana Jf habari,
Ninaomba ufafanuzi jinsi ya kuweka akiba maana mimi sijui jinsi ya kuweka akiba. Asante
Kwa sku nalaza 50,000sema kipato chako kwa siku wiki au mwezi na matumizi yako ili usaidiwe
Kwa sku nalaza 50,000
Kwa sku nalaza 50,000
Me kote huko sipo ila ninashidwa kuitunza ela nikiweka nkijarib kuweka akiba nikipiga hesab niona ni kias kdg natumia tukama unalaza 50,000 mkuu kila siku ww ni tajiri mkubwa sana hujajua tu. sasa kinachofanya ushindwe kusave ni nn ? matumizi ya pombe, wanawake, ku bet, au matumizi yasiyo na mpangilio ? ebu funguka alafu nikupe plan ya kusave waweza ipenda .
Mkuu maelezo yako mbona mepesi sana ?ebu fafanua vizuri ushauriwe kulingana na unavyoishi kwa hicho unachopataMe kote huko sipo ila ninashidwa kuitunza ela nikiweka nkijarib kuweka akiba nikipiga hesab niona ni kias kdg natumia tu